Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Madela.. yaani umenishtua mzee maana check yangu imebounce maana Mengi ameua makampuni yake mengi na sasa hana tujisenti. Ila kambi ya RA siiwezi bwana labda nijiunge na Bakhresa....
Aisee!Kwa Bakhersa nako kuna mlo?Kweli nchi yetu imeendelea na inasonga mbele, milo iko mingi watu kwa ujinga wetu tu tunalaza damu na kubaki tunalalamika.Asante kwa kunitonya ubarikiwe.