Mengi adai Polisi wahusika kutaka kumbambikizia mwanae madawa!

Siku nil;ipoona jeshi hili alina maana sikumoja dada yangu mtoto wa mamamdogo akaniambia best nimeitwa kwa nzowa nkaambiwa napelekwa airport nkaulizwa naweza fanya kazi..akamwambia ndio kamanda..amini usiamini dadayangu alikuwa kituo kimoja cha polisi yaanii ni mwezi mmoja na nusu ulimchukua kuwa na gari,big bussiness..bigup sis kwa hili lakini mmh huyo nzowa wenu ....amefika mbali mpaka kwa mengi..labda niwachekesheni kuna majuzi waliamkamata david mosha wa yanga..wakati wamekmata....kilichotokea ni kwamba ule mzigo ulipitishwa na mtu mwingine kabisa na si david ila uku dar wakaambiwa anakuja nao david.ndio manaa wakanganganaa nao mpaka mwidho lakini ukweli ule mzigo ulipita na dada mmoja mnene mweupe akitokea jnb..na alisindikizwa na polisi mpaka kwenye gari na kuuondoka ..anyway pole sana davidmosha hayo ndio maisha ya airport..
 
Nilibahatika kuiona iyo news mwanzo mwisho nkashikwa na butwaa.
Tz ndo tunakoelekea uko KHAAAAAAAAAAAAAA
Masha jibu hoja izo na wapumzishe vijana waliotajwa.Ivi nani wa kuitolea ufafanuzi hii ni Kova au Mwema?
 
mengi ni bendera ya bati kamba mnyororo hatikisiki.. Kip it up "mjasiliamali"
 
JAMANI WEWE MTU UNAYELALAMIKIA DAKIKA KUMI ALIZOTUMIA MTU AKIWA NDANI YA NYUMBA YAKE KUONGEA HABARI ZA MWANAE JE MBONA USILALAMIKIE HAO WALIOKUBALI KUPOKEA HELA ILI KUMWANGAMIZA MTU AU KUMWEKA MTU MATATANI BILA HATIA? UKWEL YOU ARE AMONG OF FISADIS MAANA MENGI KATUMIA CHOMBO CHAKE NA HATA ANGEKAA MASAA MATATU NI HAKI .HAO WALIOANDA HUO MPANGO WA KUMBAMBIKIZA MWANAE MADAWA WALITUMIA MUDA GANI JARIBU KUTOA COMMENT ZENYE KICHWA ACHA ULIMBUKENI.:tonguez:
 
pole sana mzee mengi ila haya ni mapito na mungu alikuwa nawe na ndio maana mafisadi wanaendelea kushindwa na mungu wetu mwenye nguvu anawaumbua mchana kweupe.halafu leo hii mtu anasimama mbele ya umati wa watanzania masikini wanyonge anamnadi fisadi kwamba anafaa ashindwe katika jina la yesu hatufai kabisa wala hatumwihitaji tena .hii inaonyesha ni kwa jinsi gani hata chama tawala kitakavyotumia mabavu kuiba kura hili limetudhihirishia wazi kabisa hata ile issue ya KIJANA WETU JERRY MURO ALIBAMBIKIZWA MAFISADI MUOGOPENI MUNGU MAANA IPO SIKU MTATAKA KUFANYA HAYA NA HAMTAWEZA TENA .KIKWETE KAZI KWAKO SASA NA SERIKALI YAKO YA MAFISADI

Usinikumbushe Jerry Muro nikati ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda saana, MAFISADI HAWA NCHI INANUKA RUSHWA HII!
 
usinikumbushe jerry muro nikati ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda saana, mafisadi hawa nchi inanuka rushwa hii!

kweli inaumaa sana sisi wanyonge siku zote tumekuwa watu wakulia tu na hatuna hata msaada .ila ninaamini mungu yupo na ipo siku tanzania tutauona mkono wake na si mbali ni 31 octoba 2010
 
vyote ulivyonavyo si mali yako umepewa na mungu na vitumie kwa kumuenzi yeye daima,radio,tv,magazeti,ulikuwa kimya mzee hadi jana ulipowakumbusha watz story ya mafisadi papa na uharamia wao,karibu mzee mengi tena kwenye uwanja wetu wa mapambano kuelekea uhuru wa kweli wa watz,usigeuke nyuma kwani utakuwa jiwe la chumvi,tumevipiga vita vilivyo vizuri,mwendo tunakaribia kuumaliza huku tukilinda imani kwa watz,pamoja tutashinda

mwaka 1995, kwa ridhaa ya mzee mengi, itv ilionyesha picha za mauaji ya rwanda, burundi na somaliakatika kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa 1995 kwa nia ya kuwatisha wapiga kura wa watanzania, na ndivyo ilivyotokea watanzania wakaingiwa woga wa vyama vya upinzani na mafisadi wakapata ushindi kiulaini.

Baada ya mafisadi kushinda na kutawala dola, wakamtelekeza mzee mengi na kutokea hapo masahibu mbali mbali yamekuwa yakimkumba mzee huyu kutoka kwa mafisadi hawa.

Ili kukomesha kabisa matatizo mafisadi wanayotaka kumsababishia mzee mengi, anapaswa kwenda kanisani kutubu dhambi ya kushuriki kuwghilibu na kuwahadaa wapiga kura wa tanzania mwaka 1995, kama ambavyo anawataka wengine kwenda nyumba za ibada kutubu.

Baada ya kufanya kitubio, mzee mengi anatakiwa kuhakikisha ametengeneza pale aliposhiriki kuharibu 1995 kwa kituo cha itv kuonyesha hotuba za mwalimu nyerere alipokuwa akimipigia debe mgombea ubunge wa nccr mageuzi balozi paul ndobo kama sehemu ya kujitenganisha na tuhuma za ufisadi alizokuwa nazo mgombea ubunge wa ccm dr ememenuel magoti katika uchaguzi mkuu wa 1995 na hatimaye mgombea huyo kushinda kutokana na kupigiwa debe na mwalimu nyerere (mwasisi wa ccm) kama sehemu ya kupinga ufisadi.
 
Pia ya yawezekana mzee mengi ameuziwa habari za uwongo.
Kwanza haiwezikani mtu kusafirisha dawa ya kulevya kupeleka india.ingekuwa huyo mwanae anarudi kutoka india ndio akawekewa hayo madawa ingeleta maana.
Pili vipi aweze kujuwa hao maofisa wamelipwa kwani hapo kuna mtowaji na mpokeaji tu.
Tatu kwani hakumtaja huyo alio andaa huo mpango.
 
Anyeumia of course ni Mtanzania wa kawaida...

Kama hawa jamaa wanaweza kujifanyia kila wanachotaka, basi destiny yetu inaamuliwa na hao watu!...!

Nawashangaa wachangiaji wenzetu hapa ambao hawaumizwi na mbinu za hawa mafisadi waasia na waarabu kuwanunua hadi watendaji wa juu kabisa kwenye serikali yetu!...Ni jambo baya sana na la kusikitisha!

Huo uthubutu wa Mengi tu ni jambo kubwa sana...Kwanini tusianze kwa kutambua hilo?
In any way, mimi namu'admire sana Mzee Mengi, maana ndiye MWANAUME peke yake Tanzania hii anayeweza kuwajuza watanzania juu ya nguvu ya hawa wageni, hasa watumiapo fedha kutuibiaa, kutuhujumu kutoka kila angle, na kutufanya tuendelee kuwaabudu kila iitwayo siku!!

Long Live Mzee!

Ulicho kisema kweli hakina tofauti na kile mwalimu Nyerere alichokuwa akikisema Anachukia Rushwa mbaya kabisa na huku ndani ya nchi yetu kuna makaburu ndio hawa sasa mafisadi, Na mjue kaburu si lazima awe Mzungu wa south Africa ni binadamu yeyote yuale mnyonyaji

 
Pia ya yawezekana mzee mengi ameuziwa habari za uwongo.
Kwanza haiwezikani mtu kusafirisha dawa ya kulevya kupeleka india.ingekuwa huyo mwanae anarudi kutoka india ndio akawekewa hayo madawa ingeleta maana.
Pili vipi aweze kujuwa hao maofisa wamelipwa kwani hapo kuna mtowaji na mpokeaji tu.
Tatu kwani hakumtaja huyo alio andaa huo mpango.

hivi we unachokiongea ni kipi kisichowezekana kupeleka madawa india ni kipi?, then umeshaambiwa ni mchezo mchafu ulitaka kufanyika may be walitaka kumkamatia airport
kuhusu maofisa kulipwa we hiyo haikuhusu alijuaje we jua amefahamu n dats it
awataje mara ngapi wliohusika?
acha kudandia tren kwa mbele itakula kwako eboo
 
Hao jamaa waliotajwa wa ovyo sana, walishambambikia madawa mtoto mwingine wa kiongozi mpaka leo kesi ipo mahakamani. Mtoto wa watu hajui hili wala lile.
 
Fuatilia issues, hii sio ya kwanza. Kama sio mambo ya kisiasa basi ni ufisadi. Kuna kesi za kubambikiza madawa huyo mkuu wa kitengo cha madawa ya kulevya kazishikilia watuhumiwa wenyewe hawajui hata dawa ni nini.
 
kuna jamaa alikuwa anafanya kazi Swissport pale JKIA, anakwambia polisi wa pale ni kiboko kwa deal za unga na pembe za ndovu, kubambikiana madawa.
sasa bahati nzuri wamejaribu kugusa mtu ambaye anamtandao mkubwa, hapo wataipata.
 
Pole sana mengi,kama uliyoyasema ni ya kweli!mbona ulikuwa kimya sana kwenye mapambano ya vita ya ufisadi,siku za hivi karibuni?ulifikiri vita ya ufisadi imekwisha?haya sasa yamekurudia,ni vema kuacha unafiki!
 
Wanabodi,

Hakuna ubishi alichokifanya Mzee wetu Reginald Mengi jana kwa kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu maroroso ya waserikali ya JK ni kitendo cha kishujaa. Kwenye the living heros wa Tanzania, Reginald Mengi ndiye shujaa nambari mbili pekee mwenye guts za 'to call a spade a spade' kwa kuwataja kwa majina mafisadi na jana wale vikaragosi wa polisi.

Shujaa namba moja ni Dr. Will Slaa katika hotuba yake ya Mwembeyanga.

Pamoja na ushujaa huu, nikirudi kwenye profesionalism ya Utangazaji, kutumia 10 minutes kwenye TV news is unprofesional hata kama hiyo TV ni yake na ana uhuru wa kuitumia anavyotaka.

Kusema kweli, nimemsikilaza jana kwenye taarifa ya saa mbili usiku, ikarudiwa tena kwenye taarifa ya saa 4:30 usiku, ikarudiwa tena na tena kwenye taarifa ya saa11:00 alfajiri, Saa 12:00 Asubuhi na saa 1:00 asubuhi, hivyo nimesikiliza mara 5!

Content ni mzuri, Mzee alikuwa too bitter na too emotional, haswa kwa kuzingatia what his only son left meat to him halafu walitaka kumfanyia nini, japo mlengwa wa tukio ni mwanae, target ni yeye, ukitaka kummaliza adui yako, hit him where it will hurt him most!

Naungana na Watanzania wengine kupongeza kwa ushujaa huu, na kumpa pole kwa masahibu haya yaliyomkuta.

Kwa vile hapa jamvini JF sio ukumbi wa kuimbiana nyimbo tuu za sifa na mapambio, huu ni ukumbi wa critical thinking, sio vibaya nikatoa angalizo langu kuwa kuitumia TV yake kwa jinsi alivyoitumia jana na leo asubuhi, sio matumizi mazuri ya chombo chake cha habari no matter what.

Nikizama zaidi kwenye profesionalism ya TV news, kilichofanyika jana ni Total unprofesionalism on part of mhariri wake wa habari. Kwa vile Mzee Mengi yeye sio mwanahabari, yeye ni mmiliki, unprofesionalism ya habari yake inaangukia kwake binafsi hata kama ni kosa la mhariri ambaye ndiye profesional wa kumwambia Mzee, hakuna 10 minutes single news clip anywhere in the world unless ni live news coverage au developing story yale live intarection kama wafanyavyo kina CNN.

Alichotakiwa kufanya mhariri wake ni kutengeneza 3-4 minutes news clip, na ikimaliza tuu kusomwa, wanasema kipindi maalum kuhusu press conference hii ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, itafuatia mata baada ya taarifa hii ya habari. That would be fine.

Kwa vile nafafahamu wahariri wa habari wa ITV ni ma profesional, hiyo habari ya Mzee ama wanamuogopa sana hivyo hakuna wa kumwambia "this is uprofessional" ama walimwambia na mwenyemali akashinikiza iachwe news yote ndefu ya dakika 10!

Pamoja na wamiliki wa vyombo vya habari kumiliki vyombo vyao vya habari, lazima vifuate professional ethics sio kwa mmiliki kukitumia chombo chake atakavyo on profesionalism issiues. Pia sitashangaa kama hakuna regulators wowote ama vyama vya waandishi vitakavyo likemea hili, kwa vile kuanzia vyama vya wanahabari vya Misa Tan, Taja,Tamwa na Media Council, Mzee Mengi ni mmoja wa wafadhili/washitiri muhimu, huku yeye mwenyew akiimiliki Moat na Jukwaa la Wahariri.

Naomba kuwasilisha.

Pasco.
 
Hana jipya huyu anajitafutia tu kusikika kwa maskio ya watu kama na yy ypo bado haja expire!
 
Wapendwa kwanza nampa pole sanamh mengi kwa waliotaka kumtendea mwanae mabaya...
Ni ngumu kuamini laiti angaliasafiri leo hii ingekuwa aibu kwa mengi bahati mungu ni mwema kwa kila amchao...ningependa wanasheria hili swala si la kuchezea ni swala la usalama wa mtu aiwezekani mtu kama mkuu wa madawa za kulevya anaambiwa alitaka kumsakizia mtu madawa anadai namwachia mungu..na siend mahakamani ..hii kitu kwa walio na uwezo tunaomba iendelezwe mbele ili ukweli ujulikane..kama aibu na iwe aibu kama noma na iwe noma

najiuliza leo hii mengi ana mtandao mpaka airport wamentonya akashtuka je we mwenzangu basi unatarajia nini kwa watu kama hawa..ipo siku utabambikizwa ...just to remind you kingine..ukiingizwa ndani chumban kwao usikubali kuingia hata kama itachukua masaa 3 aje lawyer wako ama ndugu yako yaani mule ndani kuna madawa yamekwa kwa ajili ya watu ...hilo ni angalizo ingawa bado shida kubwa ipo mbele ya jeshi leu la polisi mungu aturehemu
 
Mengi ni mnafiki sana huyu babu acha mafisadi wamshughulikie hakujua kama kaingia choo cha kike kwa kushabikia CCM, na sasa wanamfanyia UMAFIA haswa.ITV na TBC lao moja ni kugandamiza demokrasia.
Mengi inabidi anyooshe maelezo ni kwa nini amekuwa akishabikia CCM-MAFIA wakati anajua fika hawamtaki? akumbuke pale MAKAMBA alipomkana yeye si mwanachama wa CCM,ilibidi atoe kadi yake ya CCM kujikomba zaidi.Sasa anavuna lichopanda

NA SISI TUNASEMA HA-TU-DA-NGA-NYI-KIIIIIIIIIII
 
Back
Top Bottom