Mengi adai Polisi wahusika kutaka kumbambikizia mwanae madawa!

Hivi Watanzania wenzangu tunashindwa kuona ukweli juu ya hili?Hawa WAHINDI-ASIAN wanataka kutupelekea wapi nchi yetu?apart from bifu zao kwanini waende wamtese mtoto ambaye hausiki?kwanini wasidili na mengi mwenyewe?SHAME ON THEM ALL(MAFISADI ASIA NA KUNDI LAO LA WABONGO NJAA).
Iko siku tutaanza kuwakimbiza hawa wahindi mitaani?wako kwetu halafu wantuletea ujinga?Mzee Mengi ana uhakika na anachokisema ndo maana anataja majina live!
Hivi watanzania wenzangu wazalendo hebu tuache ushabiki wa vyama turudi kwenye uzalendo,ni haki kumbambikizia mtu kesi kubwa hivyo?Hawa wahindi they are getting in my nerves now!
Pole sana Mzee mengi na mtoto wako!
Ukweli imeniuma sana wana Jamii tuacheni roho mbaya na ushabiki!kwa hili NO,wamevuka mipaka
!Angekua mtoto wa mkulima si ameenda segerea huyo?
 
Mengi ana ujasiri gani wa kutaja majina in the public namna ile......but mbona kaficha jina la huyo fisadi....kwa kutoa jambo kuwa anapaki wapi gari hata mimi napark infront of our office......damn natia mashaka report yako Bwana Mengi......
Coz Ana uhakika na anachosema!si waende mahakamani kesho wadai fidia tuone sasa...
 
Wee bwana mdogo, acha kujipendekeza! Dola gani unayoizungumzia weye Shy? Dola hii hii tunayoijua? Haya mambo yatamalizwa kimyakimya kwa Wizara/Serikali kuunda 'tume ya uchunguzi' ambayo itawapatanisha wahusika.

Unazungumza mambo kama hujui yanayotendwa na dola na serikali yake. Hebu fikiria haya- KIkwete anawanadi Mafisadi Mramba ati wachaguliwe wakatai kuna kesi Mahakamani; huoni ni kama kuingilia kesi mahakamani au Ku-influence Mahakama ije na uamuzi wa kum-please Kikwete? Fikiria Mramba ameshinda Ubunge na kwa bahati anafungwa na Mahakama, kitatokwea kitu gani kama si Uchaguzi kurudiwa? Ukirudiwa, itakuwa kwa gharama ya nani? Na unategemea nini kama Mhakama itamuachia huru Mramba? Wananchi watasema nini kama si kudai kuwa Kikwete (kama atachaguliwa) ana maslahi katika kesi hiyo? Nami pia nitakuwa mmoja wao.

Huyu Chenge Vijipesa ambaye ushahidi wake uko wazi SFO Uingereza, hiyo Serikali na Dola unayoizungumzia imefanya nini? Imeenda kuomba na kuchukua ushahidi wakanyimwa? Shy achana kabisa na siasa za Bongo, acha, na usitudanganye bana-HATUDANGANYIKIq
Sijui ni dola gani anyoitaka wakati ndo hao hao wanakula $40,000 kwa kuuza utu wa mtanzania mwenzetu kwa wahindi
 
Mkuu tunashukuru saana kwa hii clip maana wengine tulimiss taarifa ya habari lakini hata hivyo simulizi za watu waliyoiona haina tofauti na ya kwako kwahiyo post yangu itaendelea kusimama km ilivyo ila kuna maswali ya ziada;
1. Hao watu walijuaje km mtoto wa Mengi atasafiri?
2. Inamaana hii ndiyo safari yake ya kwanza?
3. Kwanini leo na si siku nyingine anazosafiri?
4. Mengi anazungumza kwenye taarifa yake kuanzia siku ya tarehe 25/sept namna gari lilivyopaki, je na yeye alikuwa anawinda au wanawindana? Hapa kuna tatizo kati ya hawa watu wawili.
5. Mengi anashindwa nini kuchukua hatua na kukimbilia kwenye vyombo vya habari? Km ameshawahi kushinda kesi kadhaa kupitia mahakama zetu kwanini asiende huko akaliseme na hili?
6. Anatamka kuwa kuna mtu hufanya malipo na ilibidi arudi kufanya hayo malio, je anawezaje kutoa ushahidi wa kiasi cha fedha km huyo mtu na yeye ni mtuhumiwa?
 
Kwa kweli siwalaumu jamaa. Dola 40,000 ni hela nyingi sana kwa hali ya Tanzania. Kum-frame "mtoto" wa huyo bwana kwa kiasi hicho ingekuwa a cake-walk kwa waliyo wengi.
 
Mh! haya ni maneno mazito sana mbele ya media kubwa na kwa kutaja waziwazi majina ya wahusika na kiasi walicho ahidiwa na au kuchukua kama 'advance payment'.

Napenda kuchunguza kila linaosemwa na jinsi linavyotamkwa kwa umakini sana. Nasubiri mtu atubu msikitini / Kanisani?

Ngoja tusubiri kusikia upande wa pili halafu tutajua ukweli uko wapi. Ukiona kama moshi vile basi jua ama pana moto au baridi saaaaaana ya mabarafu!
 
Shy umesema kweli hebu tuache vyombo husika vifanye kazi yake, ila pia siku nyingi imeshasikika hiyo ndio shughuli kuu inayompa mtaji na jeuri ya fedha ya kugawa misaada kila siku kutaka masifa huku wafanyakazi wake wakilia njaa kutwa kucha!. Nakumbuka hadidhi ya kiwanda chake sabuni za unga ku export sabuni kumbe ndani ya mzigo kuna sabuni na 'sabuni', nyie subirini tuu ukweli utafunguka!.
Na hii nayo "ndani ya mzigo kuna sabuni na sabuni" tutasubiri kama tulivyo subiri hapo chini kwenye nyekundu,utekelezaji wa "secret agrement"?

Unataka kutuaminisha, mpaka wewe Pasco umejua "ndani ya mzigo kuna sabuni na sabuni" mafisadi papa hawajajua au Usalama Wa Taifa!!!

Kwanza hongera zako kushinda udiwani, pili hongera kwa Bashe kumshinda mpiganaji Seleli hata kama ni kwa kutumia masalia/mabaki ya Kagoda.

Wapenzi wa Selelii wasiwe na shaka, hata kama Bashe angeshinda kwa asilimia 99% na Selelii asilimia 01%, bado CCM itampitisha Selelii na kumtosa Bashe, kuna secret agreement kwa wabunge makamanda waliahidiwa kupitishwa no matter what, nao ndio wakakubali kuitosa CCJ.

Hivyo kama wana CCM wa Nzega, wanawakilisha wakazi wote wa Nzega, na chaguo lao ni Bashe, basi atakayekwenda upinzani na awe Bashe, asimame na Selelii kwenye sanduku la kura, hivyo Jimbo la Nzega tuanze kulihesabu upinzani.

Kama na kuchekelea ushindi, kambi ya Bashe, chekeni sana, mkisubiria panga la NEC na mtalia sana, piga ua CCM haiwatemi makamanda wake, almanusura waimege ikatike vipande viwili, wakakubali kuinusuru CCM, sasa ni zamu ya CCM kuwanusuru.

Bashe ajiandae kwa safari, the only choice ni Chadema, tatizo langu kwake ni jee Chadema itawakubali hawa makuwadi wa RA?. Jee itafungua milango yake kuwakaribisha nyoka?.

Mwito wangu kwa Chadema, acha milango wazi kwa yoyote ajaye bila kujali alikuwa akimtumikia nani, concetration yao kwa sasa, iwe ni idadi ya viti vingi bungeni.
 
Mkuu tunashukuru saana kwa hii clip maana wengine tulimiss taarifa ya habari lakini hata hivyo simulizi za watu waliyoiona haina tofauti na ya kwako kwahiyo post yangu itaendelea kusimama km ilivyo ila kuna maswali ya ziada;
1. Hao watu walijuaje km mtoto wa Mengi atasafiri?
2. Inamaana hii ndiyo safari yake ya kwanza?
3. Kwanini leo na si siku nyingine anazosafiri?
4. Mengi anazungumza kwenye taarifa yake kuanzia siku ya tarehe 25/sept namna gari lilivyopaki, je na yeye alikuwa anawinda au wanawindana? Hapa kuna tatizo kati ya hawa watu wawili.
5. Mengi anashindwa nini kuchukua hatua na kukimbilia kwenye vyombo vya habari? Km ameshawahi kushinda kesi kadhaa kupitia mahakama zetu kwanini asiende huko akaliseme na hili?
6. Anatamka kuwa kuna mtu hufanya malipo na ilibidi arudi kufanya hayo malio, je anawezaje kutoa ushahidi wa kiasi cha fedha km huyo mtu na yeye ni mtuhumiwa?

tumia ubongo wako vizuri,jiulize kama mtu anaweza onga wote waliotajwa anashitwa onga jaji,hakimu na wapelelezi ,na je kama serikali ina mkono wake?
Think big ndugu!
 
Kwa dola 2000 tu huyo Mengi mwenyewe anaweza kupigwa shaba ya utosini ndani ya Bongo ya leo, sembuse kumbambikizia mmoja wa utitiri wake kwa dola 40,000?
 
Originally Posted by Pasco
Ndege ya Uchumi, hata kama TV ni yake, hawezi kuongea 10 minutes,that is unprofesional, hata angekuwa rais. TV news ni profession in rules na regulations on what is news inakuwa na how long it should be. No matter how big the news is, it should not be more than 4 min, kuanzia five min, hicho nikipindi maalum. The only exception kama ni live, then it can be as long as it can or kama ni live studio interaction.
.

Originally Posted by Pasco
Shy umesema kweli hebu tuache vyombo husika vifanye kazi yake, ila pia siku nyingi imeshasikika hiyo ndio shughuli kuu inayompa mtaji na jeuri ya fedha ya kugawa misaada kila siku kutaka masifa huku wafanyakazi wake wakilia njaa kutwa kucha!. Nakumbuka hadidhi ya kiwanda chake sabuni za unga ku export sabuni kumbe ndani ya mzigo kuna sabuni na 'sabuni', nyie subirini tuu ukweli utafunguka!.

Originally Posted by Pasco
Anfaal, mwana wa nyoka ni nyoka, huko nyuma nimesema sana kuhusu true colors, sasa zinaanza kujionyesha and belive me, time will tell!.

Pasco hapa vipi???????, It is not understood kwamba statements hizi zote zinatoka kwa mtu mmoja. How come unataka sheria kuchukua mkondo wake and yet unatoa hukumu in kind.

The conclusion I draw from many of the contributors of this thread ni kwamba bongo kuwa tajiri bila skandali haiwezekani! Is that true????????
 
Kwa dola 2000 tu huyo Mengi mwenyewe anaweza kupigwa shaba ya utosini ndani ya Bongo ya leo, sembuse kumbambikizia mmoja wa utitiri wake kwa dola 40,000?

Mafia! unaweza hata kubambikiwa kesi ya kutisha na mapolisi kwa kupewa kitu kidogo tu. Bahati Mengi naye anazo anaweza kupambana nao huyu kijana angekuwa muamka hoi ndiyo maisha yameshamuharibikia kwa kuozea lupango. Halafu hawa polisi njaa ndiyo walinde kura baada ya uchaguzi ikiwa wanahehuka tu kwa dola $40,000 wakishikishwa $1,000,0000 ili wasaidie kuiba kura hawawezi kabisa kushindwa. Siju aliyetaka kumuathiri kijana huyu ni nani hasa? Rostam, Subhash, Manji? maana hawa wahindi nao hmmmmmmm! wameshashika usukani.
 
kweli cha mtu mavi , ni muda mrefu sijaangalia itv lakini leo imenibore how can some one talk for more than 10 min just for his boy . Utaifa uko wapi ? Where we now kwanini asitueleze kuhusu uchaguzi morever anawasifia polisi na kuwaponda . Inchi hii .............. Am bored

Abee, umeniata Sirdelta?
 
Wengi tunalalamika of which ni sahihi. Inawezekana kabisa huyo mtoto amepakaziwa. Lakini je upande wa pili, huyo mtoto hawezi kufanya biashara ya kuuza madawa ya kulevya??? Mie nadhani kabla ya Mengi kulalama kwenye media angeanza yeye mwenyewe kwenda mahakamani na kushtaki walivyomchafua mwanae.

Mtoto wake ni km watu wengine tu na anaweza kushiriki uhalifu wowote maana si malaika. Na wazazi mara nyingi huwa wanaexpectation tofauti juu ya matendo ya wanawe especially umri unavyozidi kwenda. Nadhani kuna haja ya kufanyioka uchunguzi ili ukweli ubainike.

Hivi wewe kwa akili yako mtu anaweza toa madawa ya kulevya Tanzania akapeleka India???? Hao jamaa wajinga sana!! india ndio shambani kabisa eti mtu ndio awe anapeleka!
 
Huenda kweli alikuwa na madawa kwa nini tuamini madai ya Bwana Mengi ambaye nae hakutoa ushahidi wowote! Kwanini wamfanyizie wakati amekuwa akijipendekeza sana tu kwa CCM maana dr kikwete siku hizi haziishi kila taarifa ya habari!
 
Jamani nimesikia kutoka taarifa ya habari ya hivi sasa (saa mbili usiku Tz time) ya Radio One Mzee Mengi akilalamika kuwa Polisi wakishirikiana na wafanyakazi wa JKN Airport walimtegea mwanae madawa ya kulevya.

Mengi ameenda mbali zaidi kwa kuwataja kwa majina hao askari waliohusika na akasema kuwa wametumwa na mmoja wa mafisadi. Pia Mengi amewataka hao askari kwenda mahakamani kama wanaona wamekashifiwa.

Sina matatizo na madai yake, bali tatizo ni vile alivyotaja wahusika! Kama alikuwa na ujasiri wa kuwataja kwa majina viongozi wa polisi ni kwanini hakutumia ujasiri uleule kumtaja kwa jina muhusika mkuu ambae aliwatumia hao polisi?! Ni lazima kwamba mtu ufikirie na urudi miezi kadhaa nyuma ndipo unaweza kubaini mheshimiwa Mengi anamlenga nani!!! Je, anamuogopa kwavile ni kigogo mwenzake na ndio maana kamtaja kwa ishara?! Sipati shida kwanini hakuwataja baadhi ya vijana(kama yule aliyedai anafanyia kampuni ya simu) kwavile hawa kwake ni watu wadogo sana hivyo hakuwa na sababu. Jingine linalonichanganya ni breakdown ya TShs. 3 Billion! Kutokana na maelezo ya Mheshimiwa Mengi, malipo ya watu ambao wangefanikisha mpango huu yasingefika hata Sh. 200m. Sasa nini breakdown ya more than TShs. 2.75billion?! Ina maana alitaka kuwekewa mzigo mkubwa kiasi hicho?! Hivi inahitaji mzigo mkubwa kiasi hicho ikiwa lengo ni kumtoa tu nishai? Au mtandao huo wa hujuma dhidi ya Mengi ungeendelea beyond TZ borders ambako nako wangekatiwa mkwanja?
 
Jamani nimesikia kutoka taarifa ya habari ya hivi sasa (saa mbili usiku Tz time) ya Radio One Mzee Mengi akilalamika kuwa Polisi wakishirikiana na wafanyakazi wa JKN Airport walimtegea mwanae madawa ya kulevya.

Mengi ameenda mbali zaidi kwa kuwataja kwa majina hao askari waliohusika na akasema kuwa wametumwa na mmoja wa mafisadi. Pia Mengi amewataka hao askari kwenda mahakamani kama wanaona wamekashifiwa.

Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, walisema wahenga.
Na tusubiri tuone mwisho wa jambo hili
 
Niliona pia baba wa watu alivyokuwa analalamika kweli Tanzania ni zaidi ya vile tunavyoifahamu
 
Back
Top Bottom