babayah67
JF-Expert Member
- Mar 28, 2008
- 493
- 79
Jamani nimesikia kutoka taarifa ya habari ya hivi sasa (saa mbili usiku Tz time) ya Radio One Mzee Mengi akilalamika kuwa Polisi wakishirikiana na wafanyakazi wa JKN Airport walimtegea mwanae madawa ya kulevya.
Mengi ameenda mbali zaidi kwa kuwataja kwa majina hao askari waliohusika na akasema kuwa wametumwa na mmoja wa mafisadi. Pia Mengi amewataka hao askari kwenda mahakamani kama wanaona wamekashifiwa.
Last edited by a moderator: