Moshi town
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 171
- 120
Menejimenti ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha Chini ya Engineer Justin Rujomba imetumia Milioni Mia Mbili na Kumi na Sita ( 216 Milion) kwenda Mwanza kwenye Semina na Kutalii kwenye Mbuga ya Wanyama Serengeti kinyume na maagizo ya Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasim Majaliwa aliyoyatoa wakati akifunga Bunge la Bajeti 2022/2023.
Mheshimiwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa alipiga marufuku Taasisi za Umma kutumia Fedha za walipa kodi katika Semina , Warsha na Utalii na badala yake akatoa agizo semina na Warsha Zifanyike kwa Njia ya mitandao ili kuongeza kasi ya maendeleo.
Ziara hii imefanya Shuguli za Mamlaka ( Maunganisho Mapya , Makusanyo na Uzibaji wa Mivujo ) kusimama kutokana na Usafiri wa Mafundi kwa maana ya Magari 8 yameenda katika Ziara hiyo hivyo Kufanya Mafundi kushindwa kwenda sites kuhudumia Wakazi wa Jiji la Arusha.
Kaimu Mkurugenzi AUWSA ameachiwa Junior staff Arnord Kipanju ( Ambaye ni Mpwa wake MD Rujomba) kutokana na Menejiment yote ( MD, Wakuu wa Idara , Wakuu wa Sehemu na units) wote 28 wamesafiri .
Ziara hii inafanyika wakati Upotevu wa Maji AUWSA ukiwa ni 63% kwa Lugha Raisi ni kwamba AUWSA inauza Maji asilimia 37% tuu Asilimia 63 ya Maji yanapotea
Pamoja na Serikali kuu Kuvunja mkataba wa AUWSA na Mkandarasi wa Mradi wa ujenzi wa Miundombinu ya Uhondoaji majitaka wa A to Z Kampuni ya Tumaini Engineer wahusika waliousika katika kuingia Mkataba huu wa kifisadi wapo huru na wanajisifu hakuna wa kuwakamata kwa maana wameiweka Wizara ya Maji, na TAKUKURU Arusha Mfukoni .
Haya yanatendeka ikiwa Tayari Serikali Imetoa Tzs 530 bilion kusambaza maji Jiji la Arusha lakini Maji ayaonekani yakiongezeka katika Jiji la Arusha Mgao wa Maji umeongezeka maradufu.
Mheshimiwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa alipiga marufuku Taasisi za Umma kutumia Fedha za walipa kodi katika Semina , Warsha na Utalii na badala yake akatoa agizo semina na Warsha Zifanyike kwa Njia ya mitandao ili kuongeza kasi ya maendeleo.
Ziara hii imefanya Shuguli za Mamlaka ( Maunganisho Mapya , Makusanyo na Uzibaji wa Mivujo ) kusimama kutokana na Usafiri wa Mafundi kwa maana ya Magari 8 yameenda katika Ziara hiyo hivyo Kufanya Mafundi kushindwa kwenda sites kuhudumia Wakazi wa Jiji la Arusha.
Kaimu Mkurugenzi AUWSA ameachiwa Junior staff Arnord Kipanju ( Ambaye ni Mpwa wake MD Rujomba) kutokana na Menejiment yote ( MD, Wakuu wa Idara , Wakuu wa Sehemu na units) wote 28 wamesafiri .
Ziara hii inafanyika wakati Upotevu wa Maji AUWSA ukiwa ni 63% kwa Lugha Raisi ni kwamba AUWSA inauza Maji asilimia 37% tuu Asilimia 63 ya Maji yanapotea
Pamoja na Serikali kuu Kuvunja mkataba wa AUWSA na Mkandarasi wa Mradi wa ujenzi wa Miundombinu ya Uhondoaji majitaka wa A to Z Kampuni ya Tumaini Engineer wahusika waliousika katika kuingia Mkataba huu wa kifisadi wapo huru na wanajisifu hakuna wa kuwakamata kwa maana wameiweka Wizara ya Maji, na TAKUKURU Arusha Mfukoni .
Haya yanatendeka ikiwa Tayari Serikali Imetoa Tzs 530 bilion kusambaza maji Jiji la Arusha lakini Maji ayaonekani yakiongezeka katika Jiji la Arusha Mgao wa Maji umeongezeka maradufu.