Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Wapendwa yawezekana hata hili giza ni nguvu za giza..baada ya kamati ya makamba kutoa ushauri wake na kugusia wah waende loliondo kuombewa na babu..hivi sasa kuna mpango maalum wa menejiment nzima kwenda kwa muda na kurudi wengine waendeelee ili wakaombewe wajue jinsi gan ya kutunasua na janga hili la tanesco
BH kazi nzuri
BH kazi nzuri