mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,265
- 44,771
Sijaona masikini akifa na Corona
Wanakufa watu wa aina zote tu. Jilinde.
Wanakufa watu wa aina zote tu. Jilinde.
Ndio,kwa kujifukiza cha kula dawa kulingana na kinachoumaKwa hiyo unaweza kupona bila kwenda hospitali mkuu?
Changamoto za upumuaji aisee sio mchezo. Pole sana kwa familiaKwa masikitiko, tena makubwa, nimepata habari za kifo cha Manager wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Ngussa.
Alikuwa rafiki yangu zaidi ya miaka 20. Kwa kweli nimeumia.
Nimeongea naye last week kumpa pole ya changamoto....!
Mungu amuweke mahali pema.
Usijidanganye kuanzia miaka 20 kuendelea take care. Watu wanakufa na ikishakukamata kisawasawa ni ndani ya saa 24 tu muda wa kujitetea ukizubaa ikiwekwa mashine ya kukusaidia kupumua hapo ni 50/50 mzee kuondoka au kubakiInaonyesha hii kitu inapenda sana mabonge na wazee
JidanganyeTatizo la Corona bwana inachagua watu muhimu tu.
CpwaaVijana sio rahsi
Tatizo la corona ni moja inapiga chinichini , inatakiwa itandike juu , utadhani imekula rushwa bhana !
Kwa uzembe mulionao ktk hospitali zetu hakuna atakayepona. Hospitali ambazo hakuna hata mitungi ya oksijeni! Mukiulizwa eti mahitaji ni makubwa, hamkujua? Kwa wanaotimiza wajibu, watoto na vijana hawaathiriki kiasi hicho.
Mkuu anzisha thread ili watu wajue uviko ni hatari.Pia aliyewahi kuwa Katibu mkuu wizara ya kilimo na ushirika mohamed Muya tunamzika jioni hii hapa daslam. Poleni wote mliofikwa na misiba hii.
Wanawauza wenzao sasaWa juu wote wamaeshapigwa chanjo kutoka china ,wapo kama 80 hivi ,ndio maana utamuona Katelephone,Betina,SABUFA,MEKO etc wanazunguka bila barakoa.
Salaama wana bodi. Kwa kweli changamoto ya kupumua, a.k.a Niumonia a.k.a Covid 19 siyo mchezo wa kitoto. Mhandisi Ngusa alipata changamoto ya kupumua ambapo alilazwa hospitali kwa muda wa siku 4 hivi akipata msaada wa kupumua kwa mashine ambapo alipata nafuu na kuruhusiwa lkn jana tarehe 16/2/2021 alizidiwa tena na kufariki akiwa njiani kwenda hospitali.
Tatizo hili ni kubwa sana ndugu zangu, wala haliathiri wazee tu, huyu Mhandisi alikuwa bado kijana tu in early forties na pneumoniae imemuondoa. Kwa vyovyote wapo wengi wanaoondoka kwa tatizo hili lkn hatupati taarifa kwa sababu hawajulikani au hawatangazwi.
Tuchukue tahadhari zote ndugu zangu.