Hama mbagala noma sana kuleKatika hii serikali mpya wewe unatakiwa uwe wa kwanza kutumbuliwa
Kwa nini kilasiku umeme unakatika saa 2 au 3 na kurudi usiku wa saa 8 au 9 kama ni mgao kwa nini hamtoi taarifa
Na kama ni tatizo la kiufundi kwa nini litokee kila siku
Kuwa specific ni Mbagala sehemu gani?Katika hii serikali mpya wewe unatakiwa uwe wa kwanza kutumbuliwa
Kwa nini kilasiku umeme unakatika saa 2 au 3 na kurudi usiku wa saa 8 au 9 kama ni mgao kwa nini hamtoi taarifa
Na kama ni tatizo la kiufundi kwa nini litokee kila siku
Labda ni KICHEMCHEM au MBAGALA KUU au ZHAKHEIMKuwa specific ni Mbagala sehemu gani?
Sio kweli. Niko huku Maji Matitu msibani, umeme upo wa kutosha.Nimefika Mbagala muda huu ni kiza kitupu. Nadhani ni maeneo yote
Labda. Niko huku Maji Matitu kuanzia saa 8 mchana sijaona umeme ukikatika.Labda ni KICHEMCHEM au MBAGALA KUU au ZHAKHEIM
Sasa hivi huku KICHEMCHEM umerudishwa . Wenzetu wa maji matitu mtuambie Khali ikoje huko?Umeme Mbagala hukatwa na watu wenye nguvu zao za giza
Huku kwa Mbiku Charambe inasika milio ya bundi 🦉 tu, giza totoroSasa hivi huku KICHEMCHEM umerudishwa . Wenzetu wa maji matitu mtuambie Khali ikoje huko?
Mi naishi karibu chamazi secondary katika hivi viwanja vya city lakini pia huwa hunakatika eneo kubwa maana ukitoka nje kuangalia unakuta giza limetanda eneo loteKuwa specific ni Mbagala sehemu gani?
Umeme unazalishwa Mbagala au na yeye anapokea toka kituo (vituo) vinavyosambaza? Hajaletewa awaunganishie nini?Katika hii serikali mpya wewe unatakiwa uwe wa kwanza kutumbuliwa
Kwa nini kilasiku umeme unakatika saa 2 au 3 na kurudi usiku wa saa 8 au 9 kama ni mgao kwa nini hamtoi taarifa
Na kama ni tatizo la kiufundi kwa nini litokee kila siku
Kwanini yeye ndo anazalisha umeme?! Sehemu nyingi tu Dar es salaama mara kwa mara huwa zinakatika umeme na wala sio Mbagala peke yake!!Ngoja nisimsemee huyo meneja maana muda wake wa utumishi unakaribia kufika tamati
Kwahiyo Rais wako mnayesema ni kipenzi cha Wanyonge huwa hajali madhira ya watu wa Mbagala sio?! Btw, unataka wahamie wapi?Hama mbagala noma sana kule
Ndio maana nimesema kama kuna mgao ambao unapelekea kila siku kwetu umeme ukatike saa 2 au 3 usiku na kurudi usiku wa manane au alfajiri basi tupewe taarifa ili tujueKwanini yeye ndo anazalisha umeme?! Sehemu nyingi tu Dar es salaama mara kwa mara huwa zinakatika umeme na wala sio Mbagala peke yake!!