Meneja TANESCO Mlandizi unahujumu juhudi za Rais wetu mpendwa

mshamba mchangamfu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
338
91
Ndugu ama kwa kujua au kwa kuto kujua wewe na wasaidizi wako mna hujumu juhudi za Mhe.rais wetu za kutaka Tanzania kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati na hasa mnatuumiza sisi watanzania wakawaida tulioitikia kwa vitendo juhudi za rais wetu.Tanesco Mlandizi mna matatzo makuu matatu.

1.KUKATA UMEME HOVYO
Pamoja na Tanesco mahali kwingine kusifiwa kuondoa mgao au kupunguza kabisa tatizo la ukataji umeme hovyo hili kwetu mlandizi bado lipo na ni la hovyo kwa sababu unakatika kwa vipindi vipindi pasipo taarifa karibuni kila siku mlandizI umeme unakatika kwa vipindi vya dk tano tano na kurudi na kunasiku tunaenda masaa 10 mpk 18 bila umeme jambo linalopelekea watu kuunguza vifaa vyao vingi vinavyotumia umeme na kuingia hasara shughuli kama saloon na viwanda ambavyo kwa sasa vipo vingi mnoo mlandiz n changamoto uendeshaji wake kuna tatizo gani mkitupa taarifa kuwa mtakata umeme mbona ofisi zingine wanatoa taarifa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye vyombo vya habari kama redio na tv ninyi mlandizi mnatatizo gani ? basi igeni hata wenzenu wa DAWASCO wanaopitaga wakitangaza mitaani na gari zao maana cruiser zenu zinapark tu pale kauli ya bibi mida ya kazI

2.HUDUMA KWA WATEJA PIA NI MBOVU
Nimetembelea ofisi yako karibuni mara 7 nimepata nafasi ya kusign kama mgeni mara moja tena baada ya kugombana sana mnapata wapi reference kwa wateja wanaokuja pata huduma maana mlinzi anakuuliza maswali mengI mnoo na hata mkimaliza ulizana hakupi daftari la kusaini mteja unakosa reference ya hata kwamba ulikuja mara ngapi kueleza tatzo hilo hilo moja ukiingia ndani napo kuna wadada wale wa front office pale nao ni balaa nimemshuhudia mara 2 nzima yule dada mwenye asili ya kiarabu akiwafokea wateja badala ya kuwaeleza na kuna mdada mmoja anapenda kuwa zamu jmosi (natumia neno anapenda maana kila siku ni yeye tu na unamkuta busy na simu) nilimshuhudia akimwambia mzee mmoja kuwa sio muelewa na watu wengi wamekuwa wakiwalalamikia hawa watu wako wa front office.

(b) Takriban ofisi zote kuanzia DAWASCO, TRA hata TANESCO sehemu zingine wanatoa huduma siku ya jumamosi mpk saa sita mchana na huduma huwa ni kama zinazotolewa siku zingine tofauti n muda ila kwa mlandiz mnakuwa na dawati la emergency tu nadhan kuongeza ufanisi mngetoa pia baadhi ya huduma kwa siku ya jumamosi kwa hayo masaa machache wengine wanaweza ninyi mnashindwa wapi ?

3.HARUFU YA RUSHWA
inasemekana kitendo cha wale walinzi kuuliza maswali mengi na kutokutoa daftari la wateja kusign kama wageni ni kuwa baada ya kukuuliza huwa wanashauri uchukue namba za watu flan flan ili mteja akamalizane nao nje ya ofisi (sina hakika ila maswali wanayouliza wale walinzi ni kama wanamaelekezo flani)

Nina tukio ambalo na uhakika nalo kwa wakazi wa kisabi block C ambao walikuwa wapate umeme wa REA kwa mabavu ww na washiriki wako mmeupeleka mradi kijiji cha jirani cha madimla na kisabi block C zimepita tu nguzo huku nyumba kama nne tu wakiwa wamepata na walipokuja ulizia ofisi yako ilijibu hujakabiziwa bado mradi na REA ila kwa wanaitaji umeme kama wale wanne waliopata watengeneze mazingira rafiki ...
Tunaomba TANESCO na TAKUKURU mchunguzeni huyu bwana
 
Copy mtumie Kalemani yupo Geita kamfukuza Mkandarasi anayefunga umeme majumbani
ukitupia huku kweli tunaona na yeye anaona lkn ni Majungu kwani mgao wa Umeme haupo kihivyo, kila siku mkatiwe line yenu tu
 
Copy mtumie Kalemani yupo Geita kamfukuza Mkandarasi anayefunga umeme majumbani
ukitupia huku kweli tunaona na yeye anaona lkn ni Majungu kwani mgao wa Umeme haupo kihivyo, kila siku mkatiwe line yenu tu
chief si laini moja ni almost mlandiz nzima kwa siku mnakuwa na vipindi zaidi ya vinne vya umeme kukatika kinachoumiza zaidi ni bila Taarifa kama taarifa inatoka tunajua sion tatzo kubwa
 
chief si laini moja ni almost mlandiz nzima kwa siku mnakuwa na vipindi zaidi ya vinne vya umeme kukatika kinachoumiza zaidi ni bila Taarifa kama taarifa inatoka tunajua sion tatzo kubwa
Pole ingia thread yao hii hapa
 
Hili ni tatizo kubwa sana kuanzia Mlandizi,Kongowe,Mwendapole,kwa Mathias,Mbonde n.k.Ni eneo kubwa sana umeme kila siku unakatika ni muda mrefu sana sasa,zaidi ya mwaka hili tatizo lipo.
 
Mengi uliyoongea ni majungu na masufuria na ni kutokujua jinsi kazi zinavyofanyika!!hivi kweli meneja wa tanesco anaweza hamisha mradi wa REA?na suala la kuakatika kwa umeme kweli meneja ndio anaweza kuwa chanzo?!!
 
MKUU UMENENA VYEMA SANA.

kuna tatizo kubwa sana Tanesco Mlandizi.

Kwanza ofisi imempa mamlaka mlinzi ya kumhoji mteja kama ana tatizo gani na kumrudishia getini, yan unatatizo la kitaalamu allafu unajibiwa na mlinzi na hakuruhusu kuingia ndani.

Tatatizo la kukatika ovyo kwa umeme halielezeki na pia Miradi ya Rea maeneo haya imekuwa inasua sua sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mengi uliyoongea ni majungu na masufuria na ni kutokujua jinsi kazi zinavyofanyika!!hivi kweli meneja wa tanesco anaweza hamisha mradi wa REA?na suala la kuakatika kwa umeme kweli meneja ndio anaweza kuwa chanzo?!!
Mkuu hii notion ya kwamba haya majungu unaitoa wapi ? unamfaham huyu meneja au unaishi mlandizi na kwako umeme haukatiki ? kwann na muhusisha na kukatika umeme hovyo na nahisi yy moja kwa moja ngoja nikupe scenario moja siku Ya 1.1.2020 mbunge alialika watu kwake kwa ajili ya kusherekea mwaka mpya umeme ukakatika kama ilivyo ada baaada ya kupigiwa simu ulirudi ndani ya dk 3 tangu kupigiwa simu hili linaitaji rocket science chief ? kuelewa kuwa hii kata kata ni uozo wake tu ? kuhusu nani ? mwenye authority ya kuhamisha mradi wa REA sifahamu na natanguliza ombi unifahamishe kwa uzuri tu lakini kisabi block C,FYI ipo kata ya mtongani na kitongoji hiki ndipo jengo la halmashauri linajengwa kuna mradi wa shule wa kanisa la RC unaendelea kuna makanisa na msikiti na walipofanya survey ya kwanza, walionesha kuwa nguzo zingeletwa kuzingatia haya maeneo muhimu nguzo zililetwa, zikashushwa sehemu pasipo hata kusimikwa stories on the corridors ikawa ni mpk mwenyekiti wa kijiji aliekuwa chadema aachie ngazi ndo tutaona umeme tukamshauri akaunga mkono juhudi na akagombea tena na tukampitisha kikaja kikao tukaambiwa tujaze fomu za kuomba na tutalipia tsh 27K kwa kila muombaji cha ajab tulipoenda Tanesco wakasema wao hawatambui hiko kitu kwamba tunapaswa lipia tukarudi wadogoo baadae nguzo zikaanza simikwa kuelekea kijiji cha madimla ambacho kipo kata Ya kilangalanga na nyumba takriba 4 tu za kisabi block C ndo zimepata baada ya kuhoji sana wasaidizi wa huyuin manager sasa wakasema mradi upo Tanesco si REA tena so unaomba kama Tanesco si kwa gharama zile za awali sasa maana ulipokuwa kwetu hatukwenda kulipia (kopa kidogo tu knowledge ya MGN101) unamuepusha vp huyu manager na hizi tuhuma ?
 
Mkuu hii notion ya kwamba haya majungu unaitoa wapi ? unamfaham huyu meneja au unaishi mlandizi na kwako umeme haukatiki ? kwann na muhusisha na kukatika umeme hovyo na nahisi yy moja kwa moja ngoja nikupe scenario moja siku Ya 1.1.2020 mbunge alialika watu kwake kwa ajili ya kusherekea mwaka mpya umeme ukakatika kama ilivyo ada baaada ya kupigiwa simu ulirudi ndani ya dk 3 tangu kupigiwa simu hili linaitaji rocket science chief ? kuelewa kuwa hii kata kata ni uozo wake tu ? kuhusu nani ? mwenye authority ya kuhamisha mradi wa REA sifahamu na natanguliza ombi unifahamishe kwa uzuri tu lakini kisabi block C,FYI ipo kata ya mtongani na kitongoji hiki ndipo jengo la halmashauri linajengwa kuna mradi wa shule wa kanisa la RC unaendelea kuna makanisa na msikiti na walipofanya survey ya kwanza, walionesha kuwa nguzo zingeletwa kuzingatia haya maeneo muhimu nguzo zililetwa, zikashushwa sehemu pasipo hata kusimikwa stories on the corridors ikawa ni mpk mwenyekiti wa kijiji aliekuwa chadema aachie ngazi ndo tutaona umeme tukamshauri akaunga mkono juhudi na akagombea tena na tukampitisha kikaja kikao tukaambiwa tujaze fomu za kuomba na tutalipia tsh 27K kwa kila muombaji cha ajab tulipoenda Tanesco wakasema wao hawatambui hiko kitu kwamba tunapaswa lipia tukarudi wadogoo baadae nguzo zikaanza simikwa kuelekea kijiji cha madimla ambacho kipo kata Ya kilangalanga na nyumba takriba 4 tu za kisabi block C ndo zimepata baada ya kuhoji sana wasaidizi wa huyuin manager sasa wakasema mradi upo Tanesco si REA tena so unaomba kama Tanesco si kwa gharama zile za awali sasa maana ulipokuwa kwetu hatukwenda kulipia (kopa kidogo tu knowledge ya MGN101) unamuepusha vp huyu manager na hizi tuhuma ?
Ok!! Kuhusu miradi ya Rea, tenda hutangazwa makao makuu, anayeshinda hiyo tenda hupewa hupewa hiyo kazi na vifaa huwa anapewa na tanesco, mameneja huwa ni wasimamizi tu wa miradi hiyo!! Hadi mradi ukisha malizika na kukaguliwa na ndipo hukabidhiwa tanesco, na hapo meneja ndipo anaanza kuhusika sasa, kwa kuunganishia wateja wapya. Ukiona mradi umehamishwa jua ni maagizo toka juu, kutokana na mambo ya siasa, huo mfano ulishawahi kutokea kwenye jimbo la mizengo pinda huko katavi, kuna sehemu ina itwa majimoto, kulikuwa ni ngao ya chadema, bwana umeme ulikwepeshwa hapo, toka 2010,mwaka huu ndio wameupata!! Kuhusu hilo la kukata, nadhani kuna tatizo labda la miundo mbinu, kweli tanesco wakubali kukosa mapato ki uzembe uzembe tu??
 
Ok!! Kuhusu miradi ya Rea, tenda hutangazwa makao makuu, anayeshinda hiyo tenda hupewa hupewa hiyo kazi na vifaa huwa anapewa na tanesco, mameneja huwa ni wasimamizi tu wa miradi hiyo!! Hadi mradi ukisha malizika na kukaguliwa na ndipo hukabidhiwa tanesco, na hapo meneja ndipo anaanza kuhusika sasa, kwa kuunganishia wateja wapya. Ukiona mradi umehamishwa jua ni maagizo toka juu, kutokana na mambo ya siasa, huo mfano ulishawahi kutokea kwenye jimbo la mizengo pinda huko katavi, kuna sehemu ina itwa majimoto, kulikuwa ni ngao ya chadema, bwana umeme ulikwepeshwa hapo, toka 2010,mwaka huu ndio wameupata!! Kuhusu hilo la kukata, nadhani kuna tatizo labda la miundo mbinu, kweli tanesco wakubali kukosa mapato ki uzembe uzembe tu??
mkuu inakuwaje Tanesco mahali kwingine wanatangaza kuwa umeme utakatwa na si sisi hapa mlandizi ? leo umekatika kuanzia saa 9:45 ukarudi 9:53 (asubuh) kata kata yake kwa asilimia kubwa n dk 5 mpk 10 unarud hvyo hvyo anatuungizi, vyombo unadhan na sisi tunapenda hasara ? na swala la tanesco kwamba hawataki mapato inaweza kuwa kweli kwa mlandiz maana hatuoni ufanisi
 
mkuu inakuwaje Tanesco mahali kwingine wanatangaza kuwa umeme utakatwa na si sisi hapa mlandizi ? leo umekatika kuanzia saa 9:45 ukarudi 9:53 (asubuh) kata kata yake kwa asilimia kubwa n dk 5 mpk 10 unarud hvyo hvyo anatuungizi, vyombo unadhan na sisi tunapenda hasara ? na swala la tanesco kwamba hawataki mapato inaweza kuwa kweli kwa mlandiz maana hatuoni ufanisi
Tafadhali tupatie namba yako ya simu na eneo unalolalamikia kwa hatua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu ama kwa kujua au kwa kuto kujua wewe na wasaidizi wako mna hujumu juhudi za Mhe.rais wetu za kutaka Tanzania kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati na hasa mnatuumiza sisi watanzania wakawaida tulioitikia kwa vitendo juhudi za rais wetu.Tanesco Mlandizi mna matatzo makuu matatu.

1.KUKATA UMEME HOVYO
Pamoja na Tanesco mahali kwingine kusifiwa kuondoa mgao au kupunguza kabisa tatizo la ukataji umeme hovyo hili kwetu mlandizi bado lipo na ni la hovyo kwa sababu unakatika kwa vipindi vipindi pasipo taarifa karibuni kila siku mlandizI umeme unakatika kwa vipindi vya dk tano tano na kurudi na kunasiku tunaenda masaa 10 mpk 18 bila umeme jambo linalopelekea watu kuunguza vifaa vyao vingi vinavyotumia umeme na kuingia hasara shughuli kama saloon na viwanda ambavyo kwa sasa vipo vingi mnoo mlandiz n changamoto uendeshaji wake kuna tatizo gani mkitupa taarifa kuwa mtakata umeme mbona ofisi zingine wanatoa taarifa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye vyombo vya habari kama redio na tv ninyi mlandizi mnatatizo gani ? basi igeni hata wenzenu wa DAWASCO wanaopitaga wakitangaza mitaani na gari zao maana cruiser zenu zinapark tu pale kauli ya bibi mida ya kazI

2.HUDUMA KWA WATEJA PIA NI MBOVU
Nimetembelea ofisi yako karibuni mara 7 nimepata nafasi ya kusign kama mgeni mara moja tena baada ya kugombana sana mnapata wapi reference kwa wateja wanaokuja pata huduma maana mlinzi anakuuliza maswali mengI mnoo na hata mkimaliza ulizana hakupi daftari la kusaini mteja unakosa reference ya hata kwamba ulikuja mara ngapi kueleza tatzo hilo hilo moja ukiingia ndani napo kuna wadada wale wa front office pale nao ni balaa nimemshuhudia mara 2 nzima yule dada mwenye asili ya kiarabu akiwafokea wateja badala ya kuwaeleza na kuna mdada mmoja anapenda kuwa zamu jmosi (natumia neno anapenda maana kila siku ni yeye tu na unamkuta busy na simu) nilimshuhudia akimwambia mzee mmoja kuwa sio muelewa na watu wengi wamekuwa wakiwalalamikia hawa watu wako wa front office.

(b) Takriban ofisi zote kuanzia DAWASCO, TRA hata TANESCO sehemu zingine wanatoa huduma siku ya jumamosi mpk saa sita mchana na huduma huwa ni kama zinazotolewa siku zingine tofauti n muda ila kwa mlandiz mnakuwa na dawati la emergency tu nadhan kuongeza ufanisi mngetoa pia baadhi ya huduma kwa siku ya jumamosi kwa hayo masaa machache wengine wanaweza ninyi mnashindwa wapi ?

3.HARUFU YA RUSHWA
inasemekana kitendo cha wale walinzi kuuliza maswali mengi na kutokutoa daftari la wateja kusign kama wageni ni kuwa baada ya kukuuliza huwa wanashauri uchukue namba za watu flan flan ili mteja akamalizane nao nje ya ofisi (sina hakika ila maswali wanayouliza wale walinzi ni kama wanamaelekezo flani)

Nina tukio ambalo na uhakika nalo kwa wakazi wa kisabi block C ambao walikuwa wapate umeme wa REA kwa mabavu ww na washiriki wako mmeupeleka mradi kijiji cha jirani cha madimla na kisabi block C zimepita tu nguzo huku nyumba kama nne tu wakiwa wamepata na walipokuja ulizia ofisi yako ilijibu hujakabiziwa bado mradi na REA ila kwa wanaitaji umeme kama wale wanne waliopata watengeneze mazingira rafiki ...
Tunaomba TANESCO na TAKUKURU mchunguzeni huyu bwana
Ndugu mpendwa mteja wetu

Tumesoma maelezo yako kwa kina, Awali ya yote tunakuomba radhi kwa adha yeyote uliyodai kupitia.

Uongozi wa TANESCO Makao Makuu umechukua swala hili kwa uzito mkubwa na umepanga kukutana na wewe na kusikiliza upande wa pili kwa lengo la kuboresha zaidi, Hivyo tusaidia namba yako ya simu kwa hatua zaidi

Majibu ya hoja zako

1.Kutotoa taarifa. shirika limejitahidi sana kutoa taarifa za makatizo yaliyopangwa au yatokanayo na hitilafu kupitia vyombo vya habari mbalimbali, magari kupita mtaani na mitandao ya kijamii.Hapa tunaomba namba yako yenye WhatsApp kwa taarifa zaidi


2.Kuhusu daftari la kujaza wateja lipo na hakuna kikwazo kwa mteja kusaini daftari letu kama ipo changamoto uliyokutana nayo basi tupatie kwa hatua za haraka

3.Huduma kwa wateja na muda wa kutoa huduma. Tumekuwa tukitoa huduma muda wote wa kazi na siku za mapumziko pia.Kwa kweli wataalamu wetu haswa uliyemtaja wamekuwa wakifanya vizuri sana na kupokea sifa kem kem kutoka kwa wateja hivyo kama kuna mahali haukuridhika tunaomba tukusikilize kwa hatua zaidi

Hitimisho

Tunaomba kukusikiliza na kukupatia majibu stahiki kwa malalamiko yako yote ili kuboresha mahusiano baina yako na sisi pamona na kuendelea kukuhudumia vizuri zaidi. Tusaidie namba yako ya simu tafadhali

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA , MAKAO MAKUU




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom