Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,370
- 3,148
Yaani wilaya hii hayaishi masaa 24 bila imeme kukatika
Hii ni hasara kwa watumiaji ila zaidi serikali haipati mapato ya kitosha
Jamani simjui meneja huyo ila amechoka nashauri apumzike ije nguvu mpya yenye ubunifu,huyu anafanyakazi kwa mazoea
Hii ni hasara kwa watumiaji ila zaidi serikali haipati mapato ya kitosha
Jamani simjui meneja huyo ila amechoka nashauri apumzike ije nguvu mpya yenye ubunifu,huyu anafanyakazi kwa mazoea