menyidyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 1,339
- 194
Meneja mkuu mkaburu MOXHAM KEVIN imetangazwa leo amejiuzulu mara moja. taarifa hizi rasmi zimebandikwa kwenye mbao za matangazo mgodini hapo.
Sababu iliyopelekea kujiuzuru huku haijawa wazi ila kwa taarifa zisizo rasmi ni kuwa ubaguzi na kuleta idadi kubwa ya wageni wasio na tija. kuhusu ubaguzi ni kuwa kaleta idadi kubwa ya makaburu huku wazungu wengine wakipigwa chini.
Hivyo inawezekana timu kubwa iliyoletwa na moxham ikatimuliwa pia.
Sababu iliyopelekea kujiuzuru huku haijawa wazi ila kwa taarifa zisizo rasmi ni kuwa ubaguzi na kuleta idadi kubwa ya wageni wasio na tija. kuhusu ubaguzi ni kuwa kaleta idadi kubwa ya makaburu huku wazungu wengine wakipigwa chini.
Hivyo inawezekana timu kubwa iliyoletwa na moxham ikatimuliwa pia.