Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Amesema ni marufuku kujadili siasa, kufanya biashara wala kuhubiri injili kwenye dala dala, na hiyo ni kwa mujibu wa sheria na atakayekwenda kinyume atashtakiwa. Amesema hizi ni sheria mpya toleo jipya.
Karibu
Chanzo: Clouds 360
Karibu
Chanzo: Clouds 360