Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,664
- 2,515
Wayaaa
Kuvumilia pisi kali ikupite iv iv mwee inahitaj moyo mweePisi kali kukupita bila madhara nao ni udhaifu
Huwa nawaangalia vijana wangu...tunapiga story weee......the big one anaye gf....ila viko viwili naona u-turn nyingi ndani....Mlikuwa mnamuonea tu aisee
Yes. Hope umeelewa.Nyau wa dezo dezo? .
Anyway, Kila kitu kinawezekana mkuu.
Sawa ila huyo beki tatu ulikula?Kipindi nasoma, naishi home kwa wazee, mfanyakazi wa ndani aligundulika ana mimba. Ikabidi ahojiwe muhusika ni nani. Ile nyumba watoto wa kiume tulikuwa watano ( kuna mtoto wa baba mdogo nae alikuja kutembea maana alikuwa likizo chuo). Kulingana na mazingira ya pale home, sio rahisi yule dada kutembea na mtu wa nje ya nyumba, kwahiyo ilo swala lilimpa mzee hasira sana, maana ilikuwa wazi muhusika wa ile mimba ni kati ya sisi watano.
Ngoja nipambane nayo, kuna siri ya mafanikio hapa.Hii individual task, na sio group task mkuu. Ukiamua kujisimamia unaweza. Huwezi angalia wengi wanafanya nn, ikiwa wanachofanya ww kinakurudisha nyuma.
Kuna ukweli hapa.
Niliotembea nao wengi nimewapoteza kama Friends.
Ambao sikuwatongoza mpaka Leo ni mabest na tunaheshimiana.
Je mdada wa kazi ulikuwa umetafuna kweli ama alikuangushia tu Jumba Bovu?
Baba alikuwa sahihi, mwanamke hawezi kukusingizia mimba kama hujalala nae. Beki 3 alitaka kuniangushia soo la mimba, nikweli nilipagaga, ila mimba haikuwa yangu. Maana by that time inagundulika, ilikuwa ya mwezi mmoja, wakati nilishaacha kupiga miezi kama 5 iliyopita.
Na hii makitu ina majina aisee. Kila kukicha jina jipya. 🤣Nilikuelewa sana mkuu, ndio maana nikacheka.
Now days inaitwa Mbususu, sio papuchi tena.
Hii ngumu kumeza.Yaani vijana wamuone 'nyau' wa dezo dezo, wa slopu, wa ganda la ndizi kabisa waache kuchomeka?
Umewashauri vizuri na ndo hali halisi lakini sijui kama watakusikiliza.
SureUnfortunately, You can fuc**k 1,000 bi***ches and still feel like you have fu***ked none.
Haaa haa haaa ikawapone pone yako, akawa shemeji yako jina la dada likafaBeki 3 aliteleza wakati anajitetea. Hapo pia kuangalia simu yake, zikakutwa chatting zake na yule broh mtoto wa baba mdogo. So mhusika akawa amejulikana.