Kati ya movie ambazo wabongo wamecheza ki umakini zaidi ni hii ya men in love ambayo inahusu mapenzi ya jinsia moja,nimependa characters na director jinsi alivyojitahidi kuchezesha character accordinly,hii movie inahusiana na vijana wa chuo wanaoingia na tamaa ya kuishi maisha mazuri hatimaye wanajiingiza kwenye mahusiano ya kinyume na maumbile.dannie kijana handsome na mwenye akili anashawishika kufanya uchafu na jamaa aitwae reonald,kwenye mahusiano dannie anaonekana kutofurahishwa na mchezo huu,ila badae anakuwa chronic na kufanya huu uchafu na kila mwanaume anayemwona mbele yake,mwisho wa siku anapata ukimwi na aibu,huyu jamaa ni mgeni kwenye sanaa ila kaonyesha ufundi wa hali ya juu sana,anajua kucheza na camera vibaya nadhani ni mkenya,tafuta hii movie nimenunua jana ni nzuri ina mafundisho sana kuhusu vijana wetu,na wahusika hawakuvaa nguo za kike kama ma gay but ni wavulana kamil ukiwaona but wanayofanya hatari,BIG UP