Serikali zinahubiri kuwa ni mfumo dume na wanaharakati wanaita udhalilishaji ama ukatili wa kijinsia lakini makanisa na misikiti wanahubiri mke kumlea na kumtumikia mume kama mtoto na mumme kumtunza mkewe kama yai..hapo naona vita ni ngumu maana vitabu vingine vinasema mungu aliumba msaidizi wake kutoka ktk ubavu wake wa kushoto sasa leo hawataki
Men is meant to include all sex is some generalization items. Ndio maana hata wengine wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa hata maneno ya kutofautisha jinsia ya kike bado yanabeba dhana ya uume ndani yake mfano;
Fe-male, Wo-man, he-r etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.