Men are polygamous in Nature

Raymanu KE

JF-Expert Member
Jan 20, 2022
6,781
12,506
Katika utafiti wangu niliofanya, niligundua kwamba wanawake wengi wanalalamika Sana kwamba wanaume wanawacheat na wanawake wengine.Ina maana katika mahusiano mengi asilimia 75 ya wanawake wapo loyal Sana kwa wanaume zao.

Wanawake mnatakiwa mjue kwamba we're (men) polygamous in Nature.Mungu katuumba hivyo kwahyo punguzeni kulalamika mtakuja kufa bure kwa presha za mapenzi.Mkishajua tu kwamba Duniani hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja Basi hamtokaa msumbuliwe na hivyo vitu vya kuitwa presha za mapenzi.

Mwanaume rijali anatakiwa amiliki wanawake zaidi ya mmoja.Tafiti zenyewe zinaonyesha kwamba idadi ya wanawake Ni kubwa kuliko idadi ya wanaume Duniani kote.Kwahyo mnaposema eti Kila mwanaume akomae tu na mwanamke mmoja Sasa mnataka hawa wanawake waliobakia wamilikiqe na Nani?

Juzi Kati mlisimsikia mfalme wa Swaziland Mswati akiwaamurisha wanaume wote wa nchini kwake kwamba Kila mwanaume aoe wanawake 5 angalau waweze kupunguza idadi kubwa ya Wanawake nchini humo.

Hata tukitumia mifano ya kwenye Biblia utaona kwamba mfalme Suleiman alikuwa na wake zaidi ya 200.
Mfalme Daudi naye alizini na mke wa Uriah.Hii mifano miwili inatosha kudhihirisha kwamba sisi wanaume tuko polygamous ikija kwenye suala nzima la umiliki wa wanawake.

Binafsi Nina wachumba 5 na bado naongeza idadi yao.Basi nyie wanawake acheni kupapatika Bali kubalianeni tu na nature yet kwani tumeumbwa hivyo.
 
Acha uzinzi. Wanawake tupo wengi ndio lakini ni wanaume wangapi wanatafuta wanawake wa kuwaoa wanakosa? Haujaona pia tafiti zinaonesha kwamba wanaume wengi wapo single kuliko wanawake?
Wanawake wako occupied na married men.
1 men 5 women na wote wanasema wako occupied.
 
Acha uzinzi. Wanawake tupo wengi ndio lakini ni wanaume wangapi wanatafuta wanawake wa kuwaoa wanakosa? Haujaona pia tafiti zinaonesha kwamba wanaume wengi wapo single kuliko wanawake?
Ha ha ha Binadamu sio kama simba kwamba jike anawinda ili dume na wanae wale maisha yaendelee.

Swala la kuoa sikuhizi linahusisha kuhudumia mke na watoto kwa hali yeyote ile. Kuoa wake wengi has alot to do na financial status ya mwanaume. Tokana na umaskini na demand pattern za modern women wengi wetu hatu afford kubeba mke zaidi ya mmoja.

Mzigo wote 90% ni wa baba yani Kula,Kunywa,Kujenga,Kuvaa,Kuendesha,kusomesha,matibabu.

Zamani ilikuwa kipengele ni kulisha familia tu kusomesha serikali na yenyewe ilikuwa option pia unaweza mtoto usimpeleke shule. Unalima chakula unaweka tu. Jumba la tope halina gharama ni miti na kukandika madongo! Watu walikuwa na wake na masuria kibao tu.
 
Back
Top Bottom