Hahahha mi nakataa hio kwamba tunapenda slope,Naturally ni slope kwa mwanamke wether unapenda au hupendi, pride ya mwanaume akulee mwanamkeUnakubali nini unakataa nini?! Mnapenda slope, ila ni nature hali halisi na tunaikubali ndio maana tunawaoa etc.
Bibie...
Nikuulize wewe shogaa... Umepotelea wapi wewe?Umepotelea wapi
Nikuulize wewe shogaa... Umepotelea wapi wewe?
Afu kiranja kapotea kweli sikuhizi kakumbwa na nini sijui...Nilifichwa kuepuka shambulizi za kiranja na ndugu yangu simplicity hahahaaa.
Ulipoletea wapi V?
Afu kiranja kapotea kweli sikuhizi kakumbwa na nini sijui...
Mie kila siku nimo humu my dear. Nashangaa hatuonani tu
Kumbe Manka wew eeh?? Wap sasa sanya juu/machame /kibosho /marangu /romboKiruuuu!!! Haya.
Ha haa yani nimemmiss gafla japo mchokozi lolsInawezekana kabadili id au nae kaquit jf baada ya ban kumuandama. Ila jamaa alikua stalker hahahaa
Pia nyie wanawake ni wengi kwa idadi kulinganisha na idadi ya wanaumeHahahaaaa!!! Monopese ndio fimbo wanayotumia kutuchapia.
Kuna wanaume utawaonea huruma wanavyohangaika, basi tu yetu ndio yanaonekana. Hata 'wake' ni adimu kama walivyo 'waume'
Misimamo yako na muonekano wako utakujastuka ushaanza kuitwa bibi.Napita tu......HIVII MWANAUME HUNA HATA KIANZIO JAMANI UTALAUMU WANAWAKE? MKUU NILIKUWA NATANIA TU SITAKI MWANAUME TAJIRI ILA AT LEAST MWENYE MALENGO NA DIRA .SASA WENZETU NYIE MPO KISEX TU .MIMI SIWEZI KABISA
Hilo hakuna anayepinga, sasa kama ni wengi what do you expect? Alafu hapo hapo kuna mapunga uwiiii!!Pia nyie wanawake ni wengi kwa idadi kulinganisha na idadi ya wanaume
Walaaa!!! Sina hata chembe ya umanka mie.Kumbe Manka wew eeh?? Wap sasa sanya juu/machame /kibosho /marangu /rombo
Hata wewe, mawazo gonganai dont care whether i am single or not because i choose not to love or trust any man also am not a sex toy.so please guys stay away from me
Yaani akiondoka na aende tu walaaa hauna haja ya kujilaumu sana, mengine hutokea ili anaestahili aje. Walaa siji kuregret na kuliwazia. Yawezekana alikwenda akafanikiwa ndio lkn angekuwa na mimi hakuna rangi ningeacha ona. Watu waache kuwa waoga na kufurahisha watu kwa kung'ang'ania muhogo mchungu.
Kuna mwanaume mmoja rafiki yangu aliniuliza 'umeolewa'? Nikamjibu bado, akaniambia hata usithubutu maisha ya ndoa sio kabisa. Nilimjibu tu, wewe kwakwa yako imebuma it daznt mean na yangu itabuma au zote zimebuma, kwani hakuna wanaofurahia ndoa zao?
The right one will come and i'll get married, am not praying for anything bad to happen, and my Lord will never dissapoint me.
Dota hakuna kitu kinamnyima mwanaume kujiamini kama kutokuwa na pesa, wanajitutumua tu ila ukweli wanaujua, ndio maana utaona comment zao zote zina mrengo huo, usione huwa nahubiri pesa wananichukia bure ila nawatafutia confidence.