Men and Sex, A man looses food values of nutrients equivalent to his monthly nutrient build up

Nipo namuelekeza Mokaze ni muelewa achane na huu utoto...

Sawa malizia Kumuelekeza huyo Mkeo ili akifurahi aende kwa Baba Mkwe wako akakuombee Hela ya Vitafunwa vya Chai Maandazi ili unywe na upunguze kupiga hovyo Miayo ya Njaa hapo Sebuleni Kwake sawa?
 
Sawa malizia Kumuelekeza huyo Mkeo ili akifurahi aende kwa Baba Mkwe wako akakuombee Hela ya Vitafunwa vya Chai Maandazi ili unywe na upunguze kupiga hovyo Miayo ya Njaa hapo Sebuleni Kwake sawa?
Ukikulia mjini matusi ni kitu cha kawaida kusikia kwa wale waliotoka kijijini wakiamini ndio sehemu ya kutunisha misuri kumbe ni uzamani tuu huo mimi sipo huko mazee uzuri jamaa ni mstaarabu kanielewa...
 
What a short Bosh post from you Silly!


"People advised me to ignore you a madman"----- how could you speak English while you were in the womb of your mom???---- what a ridiculous !!!.

That's a Sure sign of madness.🤔
 
Ukikulia mjini matusi ni kitu cha kawaida kusikia kwa wale waliotoka kijijini wakiamini ndio sehemu ya kutunisha misuri kumbe ni uzamani tuu huo mimi sipo huko mazee uzuri jamaa ni mstaarabu kanielewa...

Utajitahidi sana Kubadili ID's ili ujifanye unatetewa na Watu wengi wakati wenye Akili tunajua hizi zote tu ni ID's zako. Juha kabisa Wewe!!
 
"People advised me to ignore you a madman"----- how could you speak English while you were in the womb of your mom???---- what a ridiculous !!!.

That's a Sure sign of madness.🤔

Usiseme Umeambiwa na Watu bali sema huyo Isanga Family ndiyo Kakushauri hivyo.

Hata Mimi hao hao waliokushauri Wewe nami wameniambia nipo sahihi kuwa umekosea Kiingereza.

Leo tena nina Wewe tu Ndugu hadi ukubali kuwa hakuna English ya ' If that were truth ' tena Grammatically sawa?
 
Usiseme Umeambiwa na Watu bali sema huyo Isanga Family ndiyo Kakushauri hivyo.

Hata Mimi hao hao waliokushauri Wewe nami wameniambia nipo sahihi kuwa umekosea Kiingereza.

Leo tena nina Wewe tu Ndugu hadi ukubali kuwa hakuna Kiingereza cha ' If that were truth ' sawa?



Angalia wewe, mimi ni mswahili na hata kiswahili nacho kuna wakati nakosea pia sembuse kiingereza nilichojifunzia shuleni??--- ni bora yako wewe umejifunza kiingereza ukiwa tumboni kwa mama yako!!, sijui huyo mwalimu alikuwa akiingiaje humo kukufundisha??? Inaonekana huyo mwalimu wa huko tumboni alisahau kukufundisha; if + that+were+-----"


Sasa nenda kajifunze:-

"If +that+were + true---" kwenye;


Hapo kwenye "true" mimi niliweka "truth".



Wewe kizungu bado you are, comparativelly, an infant kwangu.

You just present HOCUS POCUS.

Aurevoire, Adios, ماسلام, Kwaheri.
 
Angalia wewe, mimi ni mswahili na hata kiswahili nacho kuna wakati nakosea pia sembuse kiingereza nilichojifunzia shuleni??--- ni bora yako wewe umejifunza kiingereza ukiwa tumboni kwa mama yako!!, sijui huyo mwalimu alikuwa akiingiaje humo kukufundisha???


Sasa nenda kajifunze:-

"If +that+were + true---" kwenye;


Hapo kwenye "true" mimi niliweka "truth".



Wewe kizungu bado you are, comparativelly, an infant kwangu.

You just present HOCUS POCUS.

Aurevoire, Adios, ماسلام, Kwaheri.

What a long Bilge post from you Nitwit!
 
What a short Bosh post from you Silly!!!



"( IF THAT WERE TRUTH----)" ---has exposed you to how poor you are in English.

Kuanzia leo ukome kabisa kudandia vitu VYA WAKUBWA kabla hujafanya upembuzi yakinifu.
 
What a short Bosh post from you Silly!!!


Nakwambia siku nyingine humu ninapoandika lugha ya kiingereza usikimbilie kuja kunisahihisha, kwanza uende kujifunza ndipo uje kunikosoa.

Sasa aibu imekupata kwa kujiona mjuaji kumbe kichwani PUMBA tupu. Na hata kiingereza unachoandika ni cha kihuni, cha mitaani cha wavuta bangi na cha kuokota na kuungaunga maneno hovyohovyo. Wewe bado sana kiingereza.

Mbupu kola.🤣🤣🤣🤣
 
Nakwambia siku nyingine humu ninapoandika lugha ya kiingereza usikimbilie kuja kunisahihisha, kwanza uende kujifunza ndipo uje kunikosoa.

Sasa aibu imekupata kwa kujiona mjuaji kumbe kichwani PUMBA tupu. Na hata kiingereza unachoandika ni cha kihuni, cha mitaani cha wavuta bangi na cha kuokota na kuungaunga maneno hovyohovyo. Wewe bado sana kiingereza.

Mbupu kola.🤣🤣🤣🤣

What a short Bosh post from you Silly!!!
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom