Ooh my God! why did you mention POMBE? Let that man rest in pease.Wewe ni binadamu wa ajabu sana, mimi sijajigamba kwamba najua kiingereza sana, mimi nilikuwa najibu mada iliyokuwa imeandikwa kwa kiingereza, sasa wewe ulitaka nijibu au nichangie mada hiyo kwa Kihaya au kiha au kiswahili??-- mbona huyo aliyeandika hiyo mada kwa kiingereza hujamsema??-- you are a hopeless guy!!.
Wewe ndiye ulianza kunitusi mimi kukujibu unaona uchungu??!! au ndiyo mkuki kwa nguruwe??!!
Nadhani Moderators ni waadilifu, kama itabidi wanipige ban inabidi waanzie kwako.
Usipotoa msamaha basi na iwe hivyo because you are made out of fire that is a nature of man like you, you are fiery natured.
Umeumbwa kisharishari tu na hutaki SULUHU unapenda POMBE.