Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 758
- 1,232
Mhe. Pius Msekwa na balozi Liundi enzi hizo
Family affairsHalafu Msekwa alikuja kuachana na huyo mkewe wa ujanani akaja kumuoa Anna Abdallah ambaye nae alitoka kwenye ndoa yake aya awali/mwanzo
Na kweli mkuu ngoja nimuachie Ngoswe mambo yake maana mpaka nikajishtukia aiseeFamily affairs
Ilikuwaje...!?Mie nakumbuka sakata la bi Doris's liundi vs republic
Tema nondo kuntu Mkuu Kama hutojaliMie nakumbuka sakata la bi Doris's liundi vs republic
Imo humu JF kuna Mdau aliiweka na binafsi nakumbuka niliisoma mwanzo mwisho...Ilikuwaje...!?
Hiyo ilikua ni balaa mkuu...ilinifanya namjali sana mke wangu hata kwa mambo ya kijinga sanaMie nakumbuka sakata la bi Doris's liundi vs republic
Aliozeshwa na ccm, ccm chama cha ajabu sana.Halafu Msekwa alikuja kuachana na huyo mkewe wa ujanani akaja kumuoa Anna Abdallah ambaye nae alitoka kwenye ndoa yake aya awali/mwanzo
Imo humu JF kuna Mdau aliiweka na binafsi nakumbuka niliisoma mwanzo mwisho...
Balozi Liundi ni baba mzazi wa Mtangazaji Taji Liundi...
Halafu Msekwa alikuja kuachana na huyo mkewe wa ujanani akaja kumuoa Anna Abdallah ambaye nae alitoka kwenye ndoa yake ya awali/mwanzo
Mie nakumbuka sakata la bi Doris's liundi vs republic
Kwahiyo umeletwa kwa kusudi maalumu?Kuna kila dalili huu uzi utafunika yanayojiri duniani
PossiblyKwahiyo umeletwa kwa kusudi maalumu?
Tupe uzi tuburudikeMie nakumbuka sakata la bi Doris's liundi vs republic
Hahaaaaaa yale yale ya Malecela na AnnaAliozeshwa na ccm, ccm chama cha ajabu sana.