Grand prime hio.Mimi situmii TECNO
Sent from my SAMSUNG-SM-G530AZ using JamiiForums mobile app
Team Tecno werevaKumbe nawe mtoto mzuri mwenzangu ni Tecno wereva lol.
Tecno C-8, kubwa kuliko H6 yangu.Mleta mada acha kuzingua bana...mi natumia simu gani kama we mjanja????
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
ucnichekeshe yaani nina frnd wangu umwambii kitu kuhsu tecno anavyonishawish cjahi kumuelewa kabsa!!na zipo zenye sura ya kambare!!
Kuna simu za tecno zina bei kubwa kuliko hizo zenye brand kubwa kama Samsung, sasa sijui kwa nini mtu unajiona una wadhifa sanaaa kisa tu hutumii tecno, lakini mmewahi jiuliza tecno ndio brand ya pili Afrika kwa mauzo
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Rubii so far, I am you JF number one fan. Yani umepasua mule mule.Kwa Tanzania Soko linaenda hiviii,
Watu wengi wanapenda kutumia simu kubwa YES!! sababu imani yao ni mtu akimiliki simu kubwa ni ya gharama na ina mvuto, ataonekana nayeye ni mtu
Lakini, katika Ubora wa simu ndio utata maana simu zenye quality nzuri na zinazoaminika kimataifa ni gharama
Tecno waligundua watanzania wanapenda mambo makubwa kwa gharama ndogo kitu ambacho ni ndoto, hakuna kampuni inayoweza kutumia vifaa vyenye uhakika kutengeneza bidhaa na kupata hasara
Tecno wakaja na simu kubwa ili mradi zenye ubora hafifu kwa bei rahisi sana
Hakuna simu zenye quality mbovu kama Tecno,
Dunia inajua,Wachina wanajua, hata watumiaji wanajua
Tusidanganyane ati kuna mtu anatumia tecno kwa kupenda ni umasikini tu hivyo hakuna namna
Ha haaaaaa tecno werevaaa Wana Mahabaaa
Tena mbaya kabisaaa abaki hapo hapoAnaipenda y3music yake mwenyeweee SAMSung mbayaa
Rubii so far, I am you JF number one fan. Yani umepasua mule mule.
Acha ukweli usemwe tu. Mwenye H6 yangu nilinunua kabla ya iPhone. Maisha yalivyonyooka.
-callmeGhost
A5 2016 one of the best smartphonesUkiona uzi hauchangiwi sana ujue wengi wao wanaona aibu kuumbuka na vitekno vyao ..
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Point yako nini sasa....JamiiForums naona mmeamua kuwachagulia watumiaji wenu signature automatically.
Tecno imeteka soko la Tanzania, maana kila mtu akipost, chini unaona sent from Tecno...
Ushauri kwa wanaotongoza humu na kusema wanatumia iPhone 7, na wanaponda hizi simu zetu; badilisheni signature. Hii ni baada ya mtu kupost anatoa ajira, alafu mdau mmoja akasema na unatymia Tecno X utawezaje kumlipa mshahara .
Conclusion: doctor wangu ana V8, pamoja na Nokia torch.
-callmeGhost
He he he he heeee! Acha niweke ugoro wangu vizuri hapaMember wengi pia nia watumiaji wa ugoro