Mimi kama katibu ningependa kukujulisha julisha kuwa mitongozo yetu ni salama, yenye ustadi, yenye uhakika wa mafanikio na yenye kufuata hatua zote za ubora wa utongozaji kama ilivyoainishwa na viwango vya ubora duniani.Na mkikanusha nawaita members wa kike wawataje ME wote waliowafata PM na swaga za PANDE ZIPI au VIPI MVUA HUKO
Mbona mimi hukunipa taarifa mwenza?
watakuja akina #khantwe na wenzake kuthibitishaMimi kama katibu ningependa kukujulisha julisha kuwa mitongozo yetu ni salama, yenye ustadi, yenye uhakika wa mafanikio na yenye kufuata hatua zote za ubora wa utongozaji kama ilivyoainishwa na viwango vya ubora duniani.
Apa kite kile lyaa mrshiko....Woiiii wabadilike jomoniii watu hawataki kuchoshwa...Hahaha
Ahsante mwenyekiti...ajenda kuu??
Kwenda kutongoza mwanamke mmekutana jf hamjuani sura wala majina na wapo wanaokubaligi kabisa au? Au labda mnaowafuata kuwatongoza mnakuwa tayari mmeshawajua?Ki vipi mkuu
Mzee baba?Mzee baba huna ratiba ya kutongoza ?
Tunasikitika kukupoteza mwanachama mwenzetu ww ulitegemewa kuwa nguzo imara ndani ya chama.watakuja akina #khantwe na wenzake kuthibitisha
Pilau kuku ukichanganya ndo inaitwa BirianiKama sikutaki hata uje na mbinu zipi utarudi ulipotoka😂😂😂
Pilau kuku ndio nini?
Sinaga domo zege na siangalii sura popote na zama nasaka nyamaTunasikitika kukupoteza mwanachama mwenzetu ww ulitegemewa kuwa nguzo imara ndani ya chama.
Wanachama wachache kama nyie pasipo kufuata utaratibu mmeleta sifa mbaya kwa CHAZETA
Mnajuana baada kupeana promise izee sanaKwenda kutongoza mwanamke mmekutana jf hamjuani sura wala majina na wapo wanaokubaligi kabisa au? Au labda mnaowafuata kuwatongoza mnakuwa tayari mmeshawajua?
We si ulikuwa unakongoya mwenza jomoniii🙄🙄Mbona mimi hukunipa taarifa mwenza?
Kukongoya ndio kufanyaje mwenza?We si ulikuwa unakongoya mwenza jomoniii
😂😂😂hee ugwiji wote huo hujuiiiiKukongoya ndio kufanyaje mwenza?
Mwenza mi unanionea tu mtoto wa watu hata sina ugwiji wowote ujuehee ugwiji wote huo hujuiiii
Yaani unakuwa umemjua humu humu jf kwenye posts unamfuata pm unamuuliza maswali na anayajibu yote vizuri halafu unamtongoza kisha unamuomba muonane naye anakubali au iko tofauti na hivyo ninavyowaza mimi?Mnajuana baada kupeana promise izee sana
Tha ndo ulieeee🙄😞😞Mwenza mi unanionea tu mtoto wa watu hata sina ugwiji wowote ujue
Thi unanioneaTha ndo ulieeee