DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Sina mzee mama
Basi baridi mzee baba
Sina mzee mama
Hahah haha unamwita mlume ndago mzee mama ngoja ajeSina mzee mama
Mbinu waende kwenye uzi wa mitego mahiri ya kunasa warembo watakutana na mbinu za medani
Hapo hata we hauchomoki unacheza na pilau kuku niniHahahahhhaha
Hapo hata we hauchomoki unacheza na pilau kuku nini
Joanah unakisirani sana na dawa yako naijua nikikupata utapona tuKama sikutaki hata uje na mbinu zipi utarudi ulipotoka
Pilau kuku ndio nini?
Joanah unakisirani sana na dawa yako naijua nikikupata utapona tu
Pole mi nimejistukia sianzi kumuuliza demu hizo mambo zimezoeleka sana tuna mbinu mpyaHiyo namba moja ndio inakeraga kama nini
Ipo siku ntakukumbusha huu ujumbeTatizo hata kunipata huwezi
Ya kikePole mtoa mada kwa kukutana na madomo zege....
Kumbe kuna madomo zege ya kike na kiume...Ya kike
Wakike ndio wengi zaidiKumbe kuna madomo zege ya kike na kiume...
Aisee....Wakike ndio wengi zaidi
Na mkikanusha nawaita members wa kike wawataje ME wote waliowafata PM na swaga za PANDE ZIPI au VIPI MVUA HUKOChama Cha Madomo Zege Tanzania (CHAZETA) kinawaasa wanachama kuwa watulivu kusubiri kauli ya chama juu ya upotoshaji huu.
Ahsanteni
Katibu Mkuu Taifa
CHAZETA
Ni dhahiri huendi mbinguni!Niwazi members wengi kwenye mitandao ya kijamii hujifanya mashujaa wanapokua kwenye keyboard wanatyp pamoja na kwamba hawaonekani lakini bado zege zito lilojaa mdomoni huwafanya kushindwa kuwashawishi mabint na kuwateka kihisia na mwisho huishia kuumia kimyakimya na kuuliza maswali yaleyale ya kidomo zege eti!!:-
(1) Pande zipi
(2) Unaitwa nani
(3) Vipi mvua huko
(4) Karibu kwetu
(5) Naomba namba ya simu
(6) Mmeo hajambo
Kama umempenda mtoto mwambie ukweli hauwezi kupigwa makofi atakubali au kukukatalia........Amuka acha uboya View attachment 1110631
Mbinguni ndio wapi mkuuNi dhahiri huendi mbinguni!