Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,100
- 9,198
Poa
Umewaona wabongo walivyo wanafkie!!!
Kwangu Haifunguki Pia
Hapana.vipi atakuwa na furaha jamii forums.wakati mwenye mtandao wake yuko rumande?tuungane pamoja#freemaxencemeloWe jamaa jana ulikua unasema Melo atoe majina, aliyekubadilisha mawazo over night abarikiwe.
Nielekeze namna ya kufanya
Samahani, penye red, hiyo picha ni ipi? Nimeclick picha ya melo it does not become active[/QUOTE][QUOTE="mgogoone, post: 18891292, member: 345944"]Mkuu kwanza bonyeza hiyo picha.Ukisha bonyeza chini ya picha unaona kimshale kwenye box bonyeza kimshale.Halafu utaona sehemu inasema "SAVE IMAGE " bonyeza hapo
Kwa hiyo picha imeseviwa kwenye albamu yako ya picha.
Sasa nenda kwenye account yako ya JF.
Kwenye avatar yako bonyeza.
Halafu bonyeza kwenye "Library " utaiona hiyo picha ya max kwenye album yako bonyeza
Mara avatar yako inabadilika.
Samahani, penye red, hiyo picha ni ipi? Nimeclick picha ya melo it does not become active
Labda sijaelewa sawasawa, picha ya melo iko wapi? Nikibonyeza iliyochini ya avatar yako (anapoonekana yupo kwenye computer) it does not respond- screen haiwi nyeusi. What I am missing ni kujua hiyo picha ya melo ni ipi.Mkuu ukibonyeza picha ya Melo screen inakuwa nyeusi.Kwa hivyo utaona picha Na box lenye mshale.
Labda sijaelewa sawasawa, picha ya melo iko wapi? Nikibonyeza iliyochini ya avatar yako (anapoonekana yupo kwenye computer) it does not respond- screen haiwi nyeusi. What I am missing ni kujua hiyo picha ya melo ni ipi.
Nikibonyeza kwenye avatar yako, yes the screen comes black, not side box is seen with an arrow
Haifunguki, na wengi wamesema haifunguki, tazama post za watu mada hii, zote hazifunguki (kuwa active)[/QUOTE]Katika Hii mada ziko picha mbili za melo chagua moja kati ya hizo mbili Halafu bonyeza mara mbili tuanzie hapo
Haifunguki, na wengi wamesema haifunguki, tazama post za watu mada hii, zote hazifunguki (kuwa active)
Naona hata aibu, bado zote mbili hazifunguki. Just try yourself.[/QUOTE]Duh pole jaribu hii
Naona hata aibu, bado zote mbili hazifunguki. Just try yourself.
Nimefanikiwa but with alternative route! Nimeclick avatar yako , Nimeisave kwenye desktop. Nikaenda kwenye avatar yangu, ikawa active, then nika upload picha. Thanks![/QUOTE]I don't have any problem.There are all working.
Try later Retired
Nimefanikiwa but with alternative route! Nimeclick avatar yako , Nimeisave kwenye desktop. Nikaenda kwenye avatar yangu, ikawa active, then nika upload picha. Thanks![/QUOTE]I don't have any problem.There are all working.
Try later Retired