DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Ni taarifa ya habari ya BBC asubuhi hii,waziri wa mashauri ya nje wa kenya Mosses Wetangula kahojia akasema kuwa wanadiplomasia walokuwa ktk mkutano wa 'peace keeping' wameshambuliwa na wengine walokuwa wanaenda airpot hawapati hewani kama waziri wa mambo ya nje wa zimbabwe.NAJUA MEMBE NI KIHEREHERE NA HAKOSEKANI KTK KAMATI HIYO YA AU iliyotumwa ktk nchi ya Libya.