PUMBAV.Membe hana madhara.huyo mwengine kiwete ni wa kutonesha mguu tu.hivi ni mguu wa kulia ama kushoto?
Anashindaje bila kupigiwa kura mkuu......??Tundu Lissu ni sahihi ila sio 2020. Sitamani kumuona Tundu Lissu akishindwa asubuhi tu. Kwa njia yoyote Magufuli hawezi kushindwa uchaguzi huu hata kama hatopigiwa kura
Hayo ni maoni yangu tu mkuu usiumize sana akili yako...Ktk demokrasia hakuna neno lazima awe yy isipokua Ni maamuz ya vikao Kwa mujibu wa katiba ya chama husika watia nia cdm wapo weng ukisema lazima awe yey lisu huwatendei haki wale wengine tusubir maamuz ya vikao halal vya chama.
Kuna watu wanazaliwa wazima kisha wanaugua polio na kuwapelekea kupooza miguu yote. Je hao hawaitwi viwete?Weka heshima usimwite kiwete,
Huyu kazaliwa Mzima, bali wasiopenda haki wamemtia kilema.
Huyu hatoitwa Kiwete.
Ni mtu aliyetiwa Ulemavu tuu usio wa asili