Mbona hakuwaunga mkono wapinzani walipokuwa wakiyasema haya ndani na nje ya Bunge?
mkuu nchi ina wanafiki hii we sikia tu
Mbona hakuwaunga mkono wapinzani walipokuwa wakiyasema haya ndani na nje ya Bunge?
Nimependa uungwaji mkono huo wa ndugu membe, huo ndio
ukomavu wa kisiasa na kidplomasia.
Umenena kaka. Mbona muda wote huo hukumshauri jk? Mnafki tu huyu.
not 10 years, he was a successor of Dr. Asharose Migirowanafki kazini! he was at ths post for ten years, alishindwa nn kumshauri JK
Rais Magufuli is also in record ya kuwasema woote wanaoponda safari za Rais nje... In one if his famous budget summation speech aliomba wabunge waache kumbugudhi Mh JK kwa safari zake kwani ndo zinatupa ulaji. Aliomba rais aendelee mara dufu kwenda nje....what a paradox!
not 10 years, he was a successor of Dr. Asharose Migiro
Mods,
Hii habari ipo hapa tayari naomba muindoe hii ya kwangu.
mbona hukumshauri kaka yako JK
mkuu nchi ina wanafiki hii we sikia tu
Hapo ni kwa vile yeye hayamhusu tena! Anaona hata wakifutiwa hizo safari yeye hataathirika! Watu wanafiki bwana!!