misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,642
- 9,338
Weka ushahidiKisiwa cha Comoro
Weka ushahidiKisiwa cha Comoro
Sikuhizi sio 'kidumu' tena ni PipaMkia hauna ubavu wa kumtikisa Ng'ombe.
Hata Nyerere analijua hilo, Azimio la Arusha tulianza kufungia vitumbua Nyerere akiwa hai na hakuna alichofanya zaid ya Makelele tu!
Kidumu chama cha Mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyelopoka ni mimi au wewe!kwanza aliyekupa ruhusa ya ku qoute ujumbe wangu nani we fisiKama huna la kuandika kaa kimya.Acha kuropoka.Wewe unajua sumu au unasikiaga.Usimshuhudie mwenzio uongo.
Wadau nasikia Bw.Membe kafukuzwa uanachama ndani ya CCM,lakini kosa lake halijaelezwa,kwa wanaolijua kosa lililopelekea kufukuzwa na sio kupewa Onyo atujuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hakuna ishu nyingine ya kuongelea zaidi ya huyo Membe?Wadau nasikia Bw.Membe kafukuzwa uanachama ndani ya CCM,lakini kosa lake halijaelezwa,kwa wanaolijua kosa lililopelekea kufukuzwa na sio kupewa Onyo atujuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
ILI IWEJE?Weka ushahidi
Good sayCcm wakiwa kwenye ulaji wanadharau watu wakitumbuana wanakuja kujiliza mtaani kusaka huruma ya watu waliokuwa wanawadharau wakati wakiwa kwenye nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili uwe umeweka ushahidiILI IWEJE?
Kwahiyo ng’ombe ndo nani?🤦🏾♂️Mkia hauna ubavu wa kumtikisa Ng'ombe.
Hata Nyerere analijua hilo, Azimio la Arusha tulianza kufungia vitumbua Nyerere akiwa hai na hakuna alichofanya zaid ya Makelele tu!
Kidumu chama cha Mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ng’ombe ndo nani?
Umepatia.Ndio Mamalia
Mungu alishaamua kuwa nchi hii ataiongoza Bernard Membe. Mtaweweseka lakini hamtaweza kubadili chochote. Membe is there na atawanyoosha atakaposhika hatamu.