Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
Sure mkuuKijamaa kilikuwa kinalenga UDC wa Ikungi na jana nafasi imejazwa. Atasugua sana bench hapo Lumumba mpaka makalio yaote sugu dadeq.
Sure mkuuKijamaa kilikuwa kinalenga UDC wa Ikungi na jana nafasi imejazwa. Atasugua sana bench hapo Lumumba mpaka makalio yaote sugu dadeq.
wewe ni verified member, so unajulikana.
hivi mahakama ikikuhitaji utoe ushahidi wa ulaji nyama ulioutaja, unao?
naona unyeaji debe unanukia kwako!
UMEANDIKA USHUBWADA KAMA AKILI YAKO ILIVYO YA KULAMBA MATAKO YA WANAUME WENZAKO KWA KUJIPENDEKEZA,UNATETEA NINI?TATIZO LA CHUO CHA KATA ULICHOSOMA. KWENYE SHERIA HAKUNA FIGURE OF SPEECH.UMENIELEWA WEW MARIAMU?
Kwenye awamu ya tano nimejifunza unafiki wa wanaccm kwa kiwango cha Musiba(Phd)Mwl. Julius Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu. Kwamba Mbaguzi hawezi kuacha dhambi hiyo hata kidogo ataendelea nayo mpaka kwenye familia yake.
Nimesikiliza mazungumzo ya Ndugu Benard Membe (Muota Urais) akizungumza na katibu Kata mmoja kwa kweli sikuamini masikio yangu. Membe ameinuiliwa na kutukuzwa sana ila kwa mazungumzo yale na ubaguzi ule nimehitimisha kuwa Membe anapewa sifa asizokuwa nazo hata kidogo.
Membe ni mbaguzi,muoga,na mjenga makundi ni wa kudhibitiwa kwa hali na mali
Magufuli ni Rais wa mfano hapaswi kupingwa wala uhalali wa kufanya hivyo haupo
Dah! Hawa ndio wanasiasa tulionao!!Magufuli ni Rais wa mfano hapaswi kupingwa wala uhalali wa kufanya hivyo haupo
Uzi wa ovyooMwl. Julius Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu. Kwamba Mbaguzi hawezi kuacha dhambi hiyo hata kidogo ataendelea nayo mpaka kwenye familia yake.
Nimesikiliza mazungumzo ya Ndugu Benard Membe (Muota Urais) akizungumza na katibu Kata mmoja kwa kweli sikuamini masikio yangu. Membe ameinuiliwa na kutukuzwa sana ila kwa mazungumzo yale na ubaguzi ule nimehitimisha kuwa Membe anapewa sifa asizokuwa nazo hata kidogo.
Membe ni mbaguzi,muoga,na mjenga makundi ni wa kudhibitiwa kwa hali na mali
Magufuli ni Rais wa mfano hapaswi kupingwa wala uhalali wa kufanya hivyo haupo
Amemla mama yako? Acha lugha ya kufedheheshaMwl. Julius Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu. Kwamba Mbaguzi hawezi kuacha dhambi hiyo hata kidogo ataendelea nayo mpaka kwenye familia yake.
Nimesikiliza mazungumzo ya Ndugu Benard Membe (Muota Urais) akizungumza na katibu Kata mmoja kwa kweli sikuamini masikio yangu. Membe ameinuiliwa na kutukuzwa sana ila kwa mazungumzo yale na ubaguzi ule nimehitimisha kuwa Membe anapewa sifa asizokuwa nazo hata kidogo.
Membe ni mbaguzi,muoga,na mjenga makundi ni wa kudhibitiwa kwa hali na mali
Magufuli ni Rais wa mfano hapaswi kupingwa wala uhalali wa kufanya hivyo haupo
Kijamaa kilikuwa kinalenga UDC wa Ikungi na jana nafasi imejazwa. Atasugua sana bench hapo Lumumba mpaka makalio yaote sugu dadeq.
Huyu asubiri kuolewa tu hapo Lumumba, lakini cheo atasubiri sana.Anasahau kuwa ccm inawenyewe
Mabwana wadogo huwa wanaandika kwanza halafu wanafikiria baadae.Kusema kweli jamaa hajaweka hoja kabisa.
Nawewe umeingiza mada ya ajabu ya ukabila.
Vipi kuhusu Jerry Muro sio kabila moja na Mramba? Kwanini yeye kateuliwa kama hilo kabila hawateuliwi awamu hii?
Usichochee ukabila ni hatari hata kwako na nduguzo mambo yakiharibika kama Rwanda.
Ww umefungiwa kwenye box la ccm endelea kujikombaMwl. Julius Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu. Kwamba Mbaguzi hawezi kuacha dhambi hiyo hata kidogo ataendelea nayo mpaka kwenye familia yake.
Nimesikiliza mazungumzo ya Ndugu Benard Membe (Muota Urais) akizungumza na katibu Kata mmoja kwa kweli sikuamini masikio yangu. Membe ameinuiliwa na kutukuzwa sana ila kwa mazungumzo yale na ubaguzi ule nimehitimisha kuwa Membe anapewa sifa asizokuwa nazo hata kidogo.
Membe ni mbaguzi,muoga,na mjenga makundi ni wa kudhibitiwa kwa hali na mali
Magufuli ni Rais wa mfano hapaswi kupingwa wala uhalali wa kufanya hivyo haupo
"Na wewe ni nani?Mwl. Julius Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu. Kwamba Mbaguzi hawezi kuacha dhambi hiyo hata kidogo ataendelea nayo mpaka kwenye familia yake.
Nimesikiliza mazungumzo ya Ndugu Benard Membe (Muota Urais) akizungumza na katibu Kata mmoja kwa kweli sikuamini masikio yangu. Membe ameinuiliwa na kutukuzwa sana ila kwa mazungumzo yale na ubaguzi ule nimehitimisha kuwa Membe anapewa sifa asizokuwa nazo hata kidogo.
Membe ni mbaguzi,muoga,na mjenga makundi ni wa kudhibitiwa kwa hali na mali
Magufuli ni Rais wa mfano hapaswi kupingwa wala uhalali wa kufanya hivyo haupo