Kwa wale wanoandika andika hapa kuhusu mheshimiwa waziri wa mambo ya nje bernard membe kua anafaa kua urais nafikiri wanatoka familia ya Jk kwani membe hana tofauti na JK kiuongozi. hii ina maana mambo yatakua yale yale kwa watz wengine wasiotoka ukoo huo unaongoza kwa sasa..tafakari hatutaki tena episode za KiJK JK hizi zirudi