Nahisi umevaa ped na Ukizingatia huu ni mwisho wa mweziSisi wapenzi wa umoja wa nchi yetu ya Tanzania tunasikitishwa sana na tabia ya CHADEMA kujitenga tenga.
Mbowe, Lissu, Lema, Mdee kwanini huwa mnajitenga kwenye masuala ya kitaifa? Kwenye Corona mlijitenga hata kwenye misiba pia mnajitenga?
Kwa hiyo na nyie mkifa huko watu wawatenge? Yani CHADEMA ni waajabu sana mambo yenu huwa mnalazimisha yawe ya kitaifa, lakini matatizo ya wengine mnayachukulia siasa.
Kwa tabia yenu hii mkishika urais itakuwaje? Mtawaunganisha watanzania au mtawagawa?
Kwa tabia hii ya ubinafsi wenu hamfai kabisa na sijui mmekula maharage ya wapi.