Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,562
- 47,010
Ameng'atuka sasa, are u happy?A politically dead hero is of no use to anyone.
Ameng'atuka sasa, are u happy?A politically dead hero is of no use to anyone.
Chama ndiyo kimemuengua, jamaa ana busara sanaMembe is done.
Ameingia chaka!
Na ndio haohao WANAOWEWESEKA MAKADA WAO WAKIJIUZULU AU AKIENDA UPINZANI...Lolote lawezekana kumbuka walioondoa vyama vingi Tanzania ndio hao hao waliovirudisha kwa kupenda au kwa kutokupenda.
Vipi mzee Sumaye hakuutaka uenyekiti tena huko ccm, au aliutaka wa Chadema tu?!Mwache atimize takwa la kidemokrasia
Wamepoa kama hawakupata kuwemo kwenye siasa za Tanganyika baada ya kurudi walikotoka!!Na sasa wako wapi?