chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,689
- 22,702
Sikujua na wala sikufikiria kuwa janga hili la Corona lingaliathiri pia uhusiano wa kimataifa na hasa wa kikanda.Nilidhani janga hili lingalitufanya tushirikiane na wenzetu Duniani katika kupambana nalo kitaalam. Lazima tuende na wenzetu la sivyo tutatengwa na tutaumia sana!