Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Kuhani umemcritisize Membe Bure juu ya mfano wake kwa KANU ya Kenya, infact yeye ametoa mtizamo wake wa kisiasa, siasa za vyama, na wala hajaicritisize serikali ya Kenya kwa lolote. mimi nadhani hajavunja kanuni za diplomasia kwa mfano wake huo