MEMBE: “Better to die Standing, Than to live on your knees!,”.

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bernard Membe amerusha kombora lake na kudai kuwa ni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti.

Membe aliandika ujumbe huo jana kwa lugha ya kingereza kupitia akaunti yake ya kijamii ya Twitte aliandika kwa ufupi kuwa “Better to die Standing, Than to live on your knees!,”.

Baadhi ya mashabiki wake katika ukurasa huo walimsifu kwa maamuzi yake na wengine wakimuambia msimamo wake umeonyesha ni kiongozi imara hayumbishwi.

Wengine walikwenda mbali na kufananisha kauli hiyo ni msimamo wake wa kutomuomba msamaha kwa Rais John Magufuli kutokana na kukuri sauti yake imevuja katika mitandao ya kijamii juu ya kumsema Rais.

Screenshot_20190913-175640.png
 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bernard Membe amerusha kombora lake na kudai kuwa ni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti.

Membe aliandika ujumbe huo jana kwa lugha ya kingereza kupitia akaunti yake ya kijamii ya Twitte aliandika kwa ufupi kuwa “Better to die Standing, Than to live on your knees!,”.

Baadhi ya mashabiki wake katika ukurasa huo walimsifu kwa maamuzi yake na wengine wakimuambia msimamo wake umeonyesha ni kiongozi imara hayumbishwi.

Wengine walikwenda mbali na kufananisha kauli hiyo ni msimamo wake wa kutomuomba msamaha kwa Rais John Magufuli kutokana na kukuri sauti yake imevuja katika mitandao ya kijamii juu ya kumsema Rais.

View attachment 1206501
Sawa. Lakini kamwa hatapata U-JPM
 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bernard Membe amerusha kombora lake na kudai kuwa ni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti.

Membe aliandika ujumbe huo jana kwa lugha ya kingereza kupitia akaunti yake ya kijamii ya Twitte aliandika kwa ufupi kuwa “Better to die Standing, Than to live on your knees!,”.

Baadhi ya mashabiki wake katika ukurasa huo walimsifu kwa maamuzi yake na wengine wakimuambia msimamo wake umeonyesha ni kiongozi imara hayumbishwi.

Wengine walikwenda mbali na kufananisha kauli hiyo ni msimamo wake wa kutomuomba msamaha kwa Rais John Magufuli kutokana na kukuri sauti yake imevuja katika mitandao ya kijamii juu ya kumsema Rais.

View attachment 1206501
That is a good spirit
 
Atanirudisha nyuma kiitikadi iwapo nitasikia ameenda kupiga magoti kimya kimya na kuja kutangazwa hadharani. Ernesto Che Guevara alikuwa ni moja ya wapiganaji haki hodari sana duniani na atendelea kuheshimiwa milele kwa misimamo yake thabiti.

Hivyo kama Mh. Membe anafuata nyendo zake, basi tunamtakia kila la heri.
 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bernard Membe amerusha kombora lake na kudai kuwa ni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti.

Membe aliandika ujumbe huo jana kwa lugha ya kingereza kupitia akaunti yake ya kijamii ya Twitte aliandika kwa ufupi kuwa “Better to die Standing, Than to live on your knees!,”.

Baadhi ya mashabiki wake katika ukurasa huo walimsifu kwa maamuzi yake na wengine wakimuambia msimamo wake umeonyesha ni kiongozi imara hayumbishwi.

Wengine walikwenda mbali na kufananisha kauli hiyo ni msimamo wake wa kutomuomba msamaha kwa Rais John Magufuli kutokana na kukuri sauti yake imevuja katika mitandao ya kijamii juu ya kumsema Rais.

View attachment 1206501
Hizo tweets siyo za Bernard Kamilus Membe. Japo hiyo akaunti ina muda mrefu lakini naamini ni parody account. Kwa tabia na hulka ya Membe siyo mtu wa mitandao ya jamii. Anafahamu madhara yake. Yeye ni mtu wa kutokeza na kumkabili adui face to face.

Kama ingekuwa na tick (verified) kama ilivyo ya Zitto Kabwe Ruyagwa au Donald T Trump tungeichukulia serious. Na Membe kama angetaka kuwasiliana kwa twitter kutokana na hadhi yake angeweka tick naye.

All in all mawazo yaliyopo hapa yanaweza yakashabihiana na fikra za Membe. Mwandishi anajitahidi sana kupita mule mule mwenye fikra zake.

Tuipuuze kwa vile inaitwa Bernard K Membe ila twende nayo kwa kuwa mawazo yake nii kiwakilishi cha wengi tusiopenda mwenendo wa Jiwe.
 
Back
Top Bottom