DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Pasco eti kaamua kujinyamazia kwanini isiwe karidhika mambo freshHutaki Unaacha ni mtu wa system, alijiachia enzi za JK, sasa enzi hii ya JPM, kaamua kujinyamazia.
P.
Pasco eti kaamua kujinyamazia kwanini isiwe karidhika mambo freshHutaki Unaacha ni mtu wa system, alijiachia enzi za JK, sasa enzi hii ya JPM, kaamua kujinyamazia.
P.
Umenifanya nitafakari na kukumbuka neno siunakumbuka tulivyokuwa US nikawa kama naotaUtanisamehe mkuu Pascal Mayalla Haki ya Mungu niliamini kuwa hutaki acha ni wewe mwenyewe!! Maana siyo kwa uandishi ule aisee!siyo kwa flow ile! Siyo kwa kujiamini kule!
Jaribu ku connect dots!! Kama hukuona any similarity na IMANI yangu basi potezea!Umenifanya nitafakari na kukumbuka neno siunakumbuka tulivyokuwa US nikawa kama naota
Pasco eti kaamua kujinyamazia kwanini isiwe karidhika mambo fresh
Mkuu Capt. Tamar, yule ni system man aliyekuwa active kazini, mkimsoma utaelewa, mimi ni mwandishi tuu na sio mtu wa kule ndio maana nimeweza kubandika bandiko kama hiliUtanisamehe mkuu Pascal Mayalla Haki ya Mungu niliamini kuwa hutaki acha ni wewe mwenyewe!! Maana siyo kwa uandishi ule aisee!siyo kwa flow ile! Siyo kwa kujiamini kule!
Bado hujanishawishi pasco (Pasco wa Jf?) Pascal MayallaMkuu Capt. Tamar, yule ni system man aliyekuwa active kazini, mkimsoma utaelewa, mimi ni mwandishi tuu na sio mtu wa kule ndio maana nimeweza kubandika bandiko kama hili
TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali Wachunguzwe, Wafumuliwe! - JamiiForums
P
Ha ha ha ha kama kaburi la faraoMakabuli yaliyosheheni vito vya maana ndani ya jeneza, yanafukuliwa kumtisha Membe.
Membe Go ahead.
Watu bwana, yaani we acha tu.Ha ha ha ha kama kaburi la farao
Hili kundi likiigeuka serikali patachimbika sanaWatumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka mitatu hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Mkuu Capt Tamar, soma kwa makini hapa chiniBado hujanishawishi pasco (Pasco wa Jf?) Pascal Mayalla
Hapa Hutaki Unaacha, anaongea kama mtu anayemfahamu Membe, na anajua ni nini kilichompata Mwakyembe ni kitu kilichotokana watu hatari, Kwa bahati nzuri sana, mimi pia namfahamu Mwakyembe, ila pia nafahamu sababu ya kuumwa kwake na sio watu wowote hatari wala sio kuwekewa sumu.Membe napenda nikufahamishe ya kuwa, usipoangalia, yatakupata makubwa zaidi ya yale yaliyompata Harrison. Unapigana na watu hatari na wanaotumia akili nyingi sana kwenye game hili la siasa.
Hii ni taarifa ya mtu mwenye access kusoma sms ya JK, hivyi ni very senior na very close.Katika baraza la kwanza la JK uliteuliwa kuwa deputy wa home affairs. Ulilalamika sana kwa JK. SMS ya kulalamika kwako uliyomtumia JK, iliwafikia Rostam na Edward at the same time bila wewe kufahamu. Tafakari kwanza!
Hapa anaonyesha Hutaki Unaacha alikuwa US na Membe wakati Balali akimweleza Membe kuhusu afya yake.Umesahau tulipokuwa Marekani jinsi Balali alivyosema kuhusiana na chanzo cha afya yake kuzorota?.
Ina maana Mayalla kama jamaa uliyemjibu hataki kuamini basi aache?Kama mpaka hapa, bado sijakushawishi mimi sio Hutaki Unaacha, then believe that and you will believe anything!.
P.
Kutokana na kaburi hili pasi na shaka yoyote now time is telling JK ndio Richmond.oh God
CCM naona kampeni mmeanza mapema sana.... msije mkachoka kabla ya safari tu, miaka minne mingi sana, chafuaneni hadi mmalizane wote
Unamaanisha kaka pascal mayalla ni [USER=26563]Hutaki Unaacha ?Ina maana Mayalla kama jamaa uliyemjibu hataki kuamini basi aache?