Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 591
Leo waziri wa mambo ya nje mbwana membe amesema haoni sababu ya kuwakomoa diaspora wasiwe na uraia wa nchi mbili,ukweli tuna wahitaji ndugu zetu walioko nje kujenga uchumi wetu na kurudisha taaluma zao nchini na kujisikia hii ni nchi yao pia.
Lakini pia unaporuhusu sheria ya uraia wa nchi mbili siyo tu walioko nje watarudi ila kuna watakao pata fursa ya kuchukua uraia wa nchi ingine na hivyo kuwapa fursa ya kuhamisha mali zao kirahisi na hiyo ndiyo hatari yake.
Lakini pia unaporuhusu sheria ya uraia wa nchi mbili siyo tu walioko nje watarudi ila kuna watakao pata fursa ya kuchukua uraia wa nchi ingine na hivyo kuwapa fursa ya kuhamisha mali zao kirahisi na hiyo ndiyo hatari yake.