Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,559
- 47,002
Lissu anaropoka sana inspite ana uelewa mkubwa but he can be used very easyMvuto kwa wananchi anao Lissu,Membe nendeni nae huko ACT.
Lissu anaropoka sana inspite ana uelewa mkubwa but he can be used very easyMvuto kwa wananchi anao Lissu,Membe nendeni nae huko ACT.
Mvuto kwa wananchi anao Lissu,Membe nendeni nae huko ACT.
Wakala wa MABEBERU.Na nyalandu
Tuache "double standard" Mbona EL hakuambiwa aanzishe chama?Si Mbowe wala Zitto anayeweza kukataa pesa kisa nyinyi wafuasi hamumtaki BCMHapo ndio unaona umetuchota mawazo na akili zako za kiccm! Hata kama umeleta huu uzi kwa kejeli, kwanini usimkejeli huyo Membe aanzishe chama chake ili huo ubobezi wake uonekane? Au yeye ubobezi wake unaweza kuonekana kwenye vyama vya wanaume wenzake tu?
Atuambie kwanza faida tuliyopata kama nchi kutokana na safari nyingi sana za JK nje ya nchi alipokuwa Rais. Alituahidi.Nimefuatilia na kumsikiliza kwa makini sana Mh. Membe (jasusi mbobezi) na nimekubaliana nae kuwa anaweza kuwa mtu sahihi sana kuliko wagombea wengine wa upinzani.
Membe ana uwezo wa kujenga hoja na ikakubalika hii ni kutokana na ujasusi wake hivyo ni faida kubwa sana kwa Upinzani
Membe ana utumishi uliotukuka ukilinganisha na wagombea wengine wa upinzani, hivyo kuna faida nyingi kuwa mgombea wetu wa upinzani.
Membe ni mwanadiplomasia nguli na anaweza kuirudisha Tanzania mahali ilipokuwa kimataifa.
Membe ni karata turufu sana kwa wakati huu kwa kuwa ameshajimbambanua kupambana na Magu, hivyo ameshajiandaa na urais.
Upinzani tumpe nafasi membe apeperushe bendera yetu kuliko kuwaachia wengine ambao sidhani kama wana ushawishi kama Membe
#2020upinzani na jasusi mbobezi#
Tuache "double standard" Mbona EL hakuambiwa aanzishe chama?Si Mbowe wala Zitto anayeweza kukataa pesa kisa nyinyi wafuasi hamumtaki BCM
Kwenye mada hii naendelea kuona jinsi wale wanaojiita wasomi walivyokuwa na uwezo mdogo wa kufikiri...Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
sometimes ukikosea herufi moja tu haijulikani ulitaka kuongea nini, mkuu rudia ulichoandika ulikusudia kusema nini hapa?Maafisa jeshini huwa wanaitwa wajiandaa Usalama
Usalama wa taifa wateulesometimes ukikosea herufi moja tu haijulikani ulitaka kuongea nini, mkuu rudia ulichoandika ulikusudia kusema nini hapa?
Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
Lissu hajielewi, membe ndio chaguo sahihi la upinzani
Lissu anaropoka sana inspite ana uelewa mkubwa but he can be used very easy
Tuache "double standard" Mbona EL hakuambiwa aanzishe chama?Si Mbowe wala Zitto anayeweza kukataa pesa kisa nyinyi wafuasi hamumtaki BCM
Labda huko ccm.Membe ndio chaguo la watanzania, upinzani tupo pamoja naye