Uchaguzi 2020 Membe anaweza kutuvusha upinzani kuliko Lissu

Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu alisha sema kuanzia sasa hadi October ni parefu lolote laweza tokea huyo ndiye Membe.
Achana na hadithi za alishasema, wakati mwingine muwe mnaruhusu bongo zenu kufikiri. CCM hawapokei tena fomu ya mgombea uraisi. Nedxt week wanampitisha JPM t-shirt zinaanza kusambazwa zimeshaprintiwa tayari. Wewe bado una ngonjera zako eti suala la muda. Sometimes bora kukaa kimya kuliko kuongea story za vijiweni.
 
Achana na hadithi za alishasema, wakati mwingine muwe mnaruhusu bongo zenu kufikiri. CCM hawapokei tena fomu ya mgombea uraisi. Nedxt week wanampitisha JPM t-shirt zinaanza kusambazwa zimeshaprintiwa tayari. Wewe bado una ngonjera zako eti suala la muda. Sometimes bora kukaa kimya kuliko kuongea story za vijiweni.
Yani hii kauli ya suala la muda tu utopoloo wanaipendaa sanaaYani membe case yake ndo imeishaa hivyo ndo maana hata CCM hawamjibu tena... Hata vijana wao kina polepole kama hawamuonii...
 
Achana na hadithi za alishasema, wakati mwingine muwe mnaruhusu bongo zenu kufikiri. CCM hawapokei tena fomu ya mgombea uraisi. Nedxt week wanampitisha JPM t-shirt zinaanza kusambazwa zimeshaprintiwa tayari. Wewe bado una ngonjera zako eti suala la muda. Sometimes bora kukaa kimya kuliko kuongea story za vijiweni.
Kamuulize yeye aliyesema siyo unanijia juu mimi, ujue sisi wengine tunaingia humu kama burudani tu hivyo kama wewe uko kikazi au una uchungu sana na CCM shauri yako. Kuna watu humu tunachemshana tu tena wakati mwingine tumekaa meza moja tunakula bata na vinyawji huku tunagongeshana glass maana naona umekomaa!!
 
Nasikia membe ashawai kuwa Askari tena officer wa JWTZ alikuwa luteni wakati yupo shuleni TMA Arusha naskia alikuwa akitoroka sana usiku na kwenda kujivinjari na mademu kipindi icho kikwete alishakuwa camission alikuwa ni capten alikuwa akiwafundisha wakina Membe naskia kikwete kambeba sana Membe pale TMA bado kidogo tuu membe afukuzwe kwenye kozi ya uafisa mana alikuwa anatoroka mno vipindi..

Afu pia Membe alivyomaliza kozi yake ya uofisa akawa cammision akaekwa kwenye idara ya usalama wa taifa ivi ni kweli wakuu Membe alikuwa na yy kamanda wa TPDF mbn record zake azipo???
Maafisa jeshini huwa wanaitwa wajiandaa Usalama
 
Membe amekua kwenye uongozi wa ngazi za juu kwa muda ana uzoefu, anajiamini, ni ntu hatetereshwi
 
Nimefuatilia na kumsikiliza kwa makini sana Mh. Membe (jasusi mbobezi) na nimekubaliana nae kuwa anaweza kuwa mtu sahihi sana kuliko wagombea wengine wa upinzani.

Membe ana uwezo wa kujenga hoja na ikakubalika hii ni kutokana na ujasusi wake hivyo ni faida kubwa sana kwa Upinzani
Membe ana utumishi uliotukuka ukilinganisha na wagombea wengine wa upinzani, hivyo kuna faida nyingi kuwa mgombea wetu wa upinzani.

Membe ni mwanadiplomasia nguli na anaweza kuirudisha Tanzania mahali ilipokuwa kimataifa.

Membe ni karata turufu sana kwa wakati huu kwa kuwa ameshajimbambanua kupambana na Magu, hivyo ameshajiandaa na urais.

Upinzani tumpe nafasi membe apeperushe bendera yetu kuliko kuwaachia wengine ambao sidhani kama wana ushawishi kama Membe

#2020upinzani na jasusi mbobezi#
Ila ccm ni mastermind. Infiltrate tayari anaingia kupekecha. Atakwenda huko kuwakoroga. Kwani ni lazima agombee? Ukitaka kujua ametumwa, angalia alivyoondolewa. Hiyo akili ingeelekezwa kwenye masuala yenye tija kwa watu wetu ingekuwa jambo la maana sana.
 
Back
Top Bottom