Achana na hadithi za alishasema, wakati mwingine muwe mnaruhusu bongo zenu kufikiri. CCM hawapokei tena fomu ya mgombea uraisi. Nedxt week wanampitisha JPM t-shirt zinaanza kusambazwa zimeshaprintiwa tayari. Wewe bado una ngonjera zako eti suala la muda. Sometimes bora kukaa kimya kuliko kuongea story za vijiweni.Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu alisha sema kuanzia sasa hadi October ni parefu lolote laweza tokea huyo ndiye Membe.