Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Membe mambo hayo alitakiwa amuachie waziri wa Utaliii
Kwa mujibu wa nani au nini...?
Membe mambo hayo alitakiwa amuachie waziri wa Utaliii
That's why Tanzania is very poor country in the world,and will still be poor forever and ever.I can't just imagine Minister for foreign affairs anaenda kumwaga sijui nani miss tanganyikeni kwenda china,huu ni utupu wa hali ya juu,yeyote anayetetea utumbo huu,ajiulize swali moja tu,why our nation is fuc.king poor?Nchi nyingine zipo busy kuleta maendeleo katika jamii zao,si manyangema tunarukaruka tu,mara miss,mara real madrid ije bongo,uzuzu huu.Halafu mambo ya kutoleana mifano ya US,naona hiyo haina maana kabisa,let Americans do whatever they can,lakini sio kila jambo mbona white house wanafanya nasi tufanye.Mbona basi bajeti yetu iwe tegemezi kwa 40%,Tanzania ililaaniwa na nani?Halafu ukitaka ujue tumelaani nenda kwenye sehemu za starehe,watu wanajigamba utafikiri tunaishi mwezini,kumbukeni tupo mkiani mwa dunia katika maendeleo,nani wa kufuta hii aibu?
Hivi kulikuwa na ulazima gani wa Membe kufanya hili wakati wahusika ni akina MWENGU wa TTB na jamaa wa wizara ya UTALIII?
http://www.issamichuzi.blogspot.com/
Mimi sioni ajabu,kama kikwete mwenyewe ameamua kuingilia kazi za membe,je kwanini na yeye asiwaingilie wengine?ila isitafsiliwe vibaya!!!!!!!