Membe Amlipua Wenje

hivi wewe,kesy na wenje nani mvuta bangi? kesy ndio mvuta bangi na diplomasia haijui. wewe ni kanjanja na hufuatilii bunge. kama ulisikiliza bunge wenje aliongea vitu vya msingi visivyo fungamana na nchi yoyote lakini huyu kichaa mwenzako kesy ndio sifuli kabisa kwa kuishambulia rwanda wazi wazi. lakini sishangai maana siku hizi ccm mmeanza kunywa pombe za kienyeji

we mshikishwa ukuta na wenje hata uzalendo wa nchi yako
 
Mnafik Wenje, hii challenge kaikwepa:

“..Mimi naweka rehani uwaziri wangu hapa kwamba ukileta vielelezo kamili mimi nitakuwa tayari kuachia nafasi yangu, je na wewe nikitoa vielelezo utakuwa tayari kuwajibika.”

Kama Wenje alikuwa anaongea ukweli kwanini asiikubali?

Ni kweli dada. Membe alijiamini sana na ndo maana kamchallenge Wenje. Bahati mbaya ni kwamba Wenje hana ushahidi wowote zaidi ya kukaririshwa na akina Kagame
 
Wenje ni mvuta bangi na ukichanganya kuwa si raia wa Tanzania hapo unapata picha kamili. Kessy havuti bangi ila ni fyatuuu ile mbaya

Colorado State wamehalalisha Uvutaji wa Bangi kwani haina madhara ukilinganisha na tumbaku! imethibitishwa kuwa bangi inatibu magonjwa mengi ... I think police walitakiwa wande kuwakamata wanaofagilia mali za UMMA kuibiwa mchana kweupee... Mapovu yanawatoka kutetea MAPANYA RD Sr kuifisadi UDA ...Shame on you ...
 
Wenje siyo mtanzania hawezi kuwa na uchungu na Tanzania.
 
we mshikishwa ukuta na wenje hata uzalendo wa nchi yako

Sasa hapa mshikishwa ukuta ni wale wenye kukimbilia misaada ya Brown au wale wenye kukataa mali zetu kukilimbitwa?...Hivi mnafikiria CCM mnapewa misaada ya bure? Muulizeni Chenge vizuri awape siri ya urembo wenu ...
 
Wakati Bunge likipitisha bajeti ya makadirio ya matumizi Sh191.91 bilioni ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2014/15 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, alitumia nafasi hiyo ‘kumchana’ Ezekiel Wenje na kusema kuwa anatumiwa na mataifa ya nje.

Mbali na hivyo aliwaita watu wanaotoa kauli za uchonganishi kuwa ni wapumbavu na akataka waache tabia za kipumbavu kwani hawatavumiliwa hata kidogo.

Membe alitoa kauli hiyo jana jioni wakati akitoa majumuisho katika michango ya wabunge kwenye hotuba ya mapato na makadirio ya wizara hiyo kwa mwaka 2014/15.

Wenje ambaye ni Waziri Kivuli wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana asubuhi katika hotuba yake, alimshambulia Membe kuwa ni waziri mzigo ambaye hajui wajibu wake.

Sakata hilo liliibuliwa kwenye uhusiano baina ya Tanzania na nchi ya Rwanda ambalo Wenje alilizungumzia zaidi.

Akijibu hoja hizo Membe, alisema: “Kwanza nikubaliane na kauli ya wabunge wengi kuwa uhusiano wa Tanzania na Rwanda siyo mzuri kwani kila upande haumuamini mwenzake,” aliema Membe.

Alisema kinachowaumiza pande zote ni kuwa kila upande unapozungumza na mahasimu wa mwenzake, wanahisi kuwa anataka kuipindua Serikali yao hivyo bado hawajakubaliana kwa jambo lolote lakini akasema yote yatakwisha salama.

“Huwezi kusimama hapa mtu na macho yakakutoka halafu unaanza kulizungumzia taifa lingine ambalo siyo lako, hivi unatoa wapi ujasiri huo au wanakulipa,”alihoji Membe na kuongeza.

“..Mimi naweka rehani uwaziri wangu hapa kwamba ukileta vielelezo kamili mimi nitakuwa tayari kuachia nafasi yangu, je na wewe nikitoa vielelezo utakuwa tayari kuwajibika.”

Alimtaja Wenje kwa jina kuwa alichokifanya hakifai kuwa alitoa kauli ambayo siyo nzuri kwa siri za taifa na akasema mtu kama huyo akipata nafasi hata kama nchi itakuwa vitani, yuko tayari kutoa siri.

Aliyataja makundi ya ya M23 kuwa ni moja ya kundi ambalo linaundwa na Banyamulenge waliokuwa chini ya Laurent Nkunda pamoja na kundi la FDLR ambalo liliua watu wengi kwamba linaundwa na Wahutu bila ya ubishi.

Membe alimpongeza mbunge Alli Keissy kuwa alichokizungumza jana asubuhi kuhusu Rwanda na DRC Kongo ni sahihi na ndiyo maana alimshangilia kwa nguvu zote.

Source: Mwananchi
Benjamin William Mkapa alikuwa Raisi wa Tanzania kwa miaka kumi mfululizo na katika miaka hiyo hakuwahi kupeleka jeshi nje ya nchi.
Benjamini Willaiam Mkapa aliamini katika diplomasia na kuepuka kupanua wigo wa mizozo na hivyo kutumia muda mwingi kuinua uchumi wa nchi,na aliafanikiwa.
Kinachoonekana sasa ni kuonyesha military mighty ya Tanzania kwa jirani wakati hatuna uwezo wa kutengeneza hata spare ya kifaru.
Watu wanatafuta scapegoat watakapoulizwa kuhusu serikali kukosa akiba!!!!!!
Tuna shida nyingi,tuepuke kuingia mahali bila sababu ya msingi ili tuwe na muda wa kushughulikia matatizo yetu ya ndani.
Well said Kambi ya upinzani,nawapongeza,huu uenda wazimu wa kupenda vita lazima tuukatae.
 
Yan kutetea CCM tayar ni mzigo na ndo sababu nchi inazidi kuyumba kwa kuamini madafu ambayo yanasubiri kuliwa, watu wanabwabwaja tu hata hawajielewi mradi wapate buku7
 
wewe ndiye mpuuzi
unayeshabikia upuuzi wa magambo wenzio.Maneno ya mh Wenje ndio msimamo
wa watz wengi na sisi wana Nyamagana tunamuunga mkono mbunge
wetu.

tena naomba unyamaze usiwadhalilishe watanzania hawawezi kuongea ujinga ulioongelewa na wenje jana bungeni
 
Nchi masikini inashadadia
vita na machafuko katika nchi jirani. Tanzania supporting FDLR is
morally incomprehensible. These extremist Hutus will never come to power
in Rwanda hata mfanye nini. Huyo mheshimiwa Membe kila siku kushabikia
vita mara Malawi mara Rwanda, apeleke wanawe basi wakapigane na RDF aone
shughuli iliyomtesa Kabila. Kagame hamumunyi. And why should our tax
money go to support genocidaire with blood in their hands? Tanzania
tunafaidika nini kuwasaidia wauaji wa FDLR?

sioni cha maana ulichoongea hapa. chambua masuala kisomi siyo ushabiki
 
wenje mara nyingi haongei kama kiongozi anaongea kama mvuta bangi.dunian kuna watu.

lazima atakuwa na damu mbaya ya kitusi, kwa mtaji huu wa chadema kuungana na mataifa jirani kuhujumu utaifa wetu, ni chama hatari kabisa kisichotakiwa kuwepo hapa nchini.
 
Back
Top Bottom