Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,730
- 519
Wakati akihojiwa na mwandishi wa TBC kuhusu maoni yake baada ya kutembelea chuo cha ufundi huko singapore katika ziara ya Rais kikwete leo hii, amekiri serikali kufanya ujinga kwa kubadilisha vyuo vya ufundi kuwa vyuo vikuu,
"Tumefanya ujinga saana, tusifanye hivyo tena, makosa tuliyofanya huko nyuma yanatosha" mwisho wa kunukuu.
katika ziara hiyo imeelezwa kuwa wanafunzi asilimia 75 nchini singapore wanajifunza masomo ya ufundi, na asilimia 25 ndo wanaosoma masomo ya kawaida, katika chuo hicho asilimia 99 ya gharama za masomo zinalipiwa na serikali.
source TBC 1 habari
"Tumefanya ujinga saana, tusifanye hivyo tena, makosa tuliyofanya huko nyuma yanatosha" mwisho wa kunukuu.
katika ziara hiyo imeelezwa kuwa wanafunzi asilimia 75 nchini singapore wanajifunza masomo ya ufundi, na asilimia 25 ndo wanaosoma masomo ya kawaida, katika chuo hicho asilimia 99 ya gharama za masomo zinalipiwa na serikali.
source TBC 1 habari