Vyama vya upinzani uache kukumbatia hawa "wasaliti" wa CCM. Wengine wanatumwa tu!Membe akanusha taarifa za kuungana na Chadema ktk nafasi ya kuwania urais
Swahiba Umesikia wapi mawaziri wakifanya hivyo?Swaiba, mgombea wa CCM anazijua kanuni za uchaguzi?
View attachment 1576752
Mwenyekiti wa baraza la mawaziri amefanya hivyo kule Uvinza swahiba.Swahiba Umesikia wapi mawaziri wakifanya hivyo?
Swaiba, mgombea wa CCM anazijua kanuni za uchaguzi?
View attachment 1576752
Aaahh, mlivyokuwa mnamshabikia kuwa Kachero mbobezi.Vyama vya upinzani uache kukumbatia hawa "wasaliti" wa CCM. Wengine wanatumwa tu!
Mbona mmekata kuengua majina ya wapinzani? 🤣🤣🤣 akili au zigo la MAVI??Hata Kama vyama vyote vya upinzani kwasasa vikiungana bado havijawa na uwezo wa kumuangusha JPM. Vyama vya upinzani mwaka huu ni dhaifu kuliko miaka yote ya Hivi karibuni.
Kupitia ukurasa wa twitter Ndg. Benard Membe amekanusha kujiondoa mbio za Urais na kumuunga mkono mgombea wa Chadema.
View attachment 1576749