Ni kweli alikuwa amekosea na hakumuita Membe kama Rais bali alisema hotuba ya Rais badala ya Hotuba ya WaziriAkichangia hotuba ya bajeti, Mbunge Mtutura amejikuta akimuita Waziri Membe "Rais" huku akiwa anampamba kwa misifa kedekede.
Hata hivyo alikiri kukosea lakn akasema anamuombea dua.
my take:
Huyu hakukosea alikua anatuma ujumbe................
Rais wa wapi wa manzese au wa wasafii?
naomba uweke dau hapa
Raisi wa walamba sembeeee nini?Akichangia hotuba ya bajeti, Mbunge Mtutura amejikuta akimuita Waziri Membe "Rais" huku akiwa anampamba kwa misifa kedekede.
Hata hivyo alikiri kukosea lakn akasema anamuombea dua.
my take:
Huyu hakukosea alikua anatuma ujumbe................
tema mate chini mkuu