Uchaguzi 2020 Membe ahsante sana, karibu rasmi CHADEMA. Karibu utuvushe

Daah Tundu lissu ashatoka kwenye utukufu Tena Ila kwakwel inahitaji nguvu nyingi chadema kuwaelewa wanapenda Nini na hawapendi Nini ?

Na nilichogundua Watanzania huwa hatujifunzi kutokana na makosa tuliyoyafanya nyuma.

Yani mtu alipigwa risasi Zaid ya 16 akikipigania chama leo hii mmemuona Hana umuhimu tena kisa kachero mmoja aliefukuzwa uanachama ndani ya chama chake.

Dhambi ya usaliti itaendelea kuwatafuna Sana CHADEMA.
Kumbuka yaliyomkuta Dr. Slaa. Machozi ya samaki huishia baharini.
 
Twende zetu na Lissu kwa uongozi bora baada ya kuing'oa ccm madarakani baada ya uchaguzi wa October.
Sema ndio itakuwa mwanzo wa mwisho wako wewe. Alafu watu kama nyie hatuwahitaji huku
Membe 2020 for presidency
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Lissu ndiye kiongozi wako
Lissu ndio nani?? Kwa hiyo kwa sababu kapigwa risasi 16 basi ndio tumpe nafasi ya kugombea?? Ingekuwa hivyo 50 cent angekuwa raisi wa marekani
Lissu aendelee kula zake bata huko alipo, tunaenda na membe jasusi mbobezi
 
Mmerudia Ngonjera za 2015. Nakumbuka enzi hizo, oooh Lowasa anakuja na aliyewahi kuwa Mkurugenzi mkuu wa TISS na wenyeviti wa CCM mkoa. Haya, yaliishia wapi? Majasusi nchi hii wako wengi na kwa taarifa yenu, wapo wabobezi wengi wazuri tuu kuliko Membe. Tusirudie makosa ya Gia la Angani.
 
Ile kiu ya wapinzani(wapinzani halisi) wa Tanzania kupata mkombozi wa kutuvusha hatimaye imefikia pazuri baada ya Membe kukaribishwa ndani ya chadema na hatimaye kusubiri kuwa mgombea wa urais.

Chadema katika siku ambayo mmefanya jambo la maana na umuhimu sana basi ni hii ya kumpa Membe nafasi ya kutuvusha 2020.

Membe ni mwanamkakati na mbobezi kwenye masuala yote ya intelijensia, hivyo ni mtu sahihi kabisa na muhimu kwa wakati huu kuliko wakati wowote ule.

Membe sio Lissu, Membe ana ushawishi, ana mtaji wa watu wengi sana kitu ambacho Lissu hana na kamati kuu imeona hili suala.
Karibu Membe chadema, karibu utupiganie, karibu utuvushe.

#2020 upinzani tunaenda na Membe#

Hapo unaona ndio unewaprovoke cdm, kweli kuwa na mawazo ya kizee ni shida sana.
 
Chadema bhana! hivi kwanini hamjifunzi through mistakes zenu angalie mlimpa lowasa uanachama but we all know the aftermath alikiharibu chama akasepa mchan kweupe!, Ninyi chadema mtakuwa dumping party Hadi lini!?, Hebu amkeni hao wanaokimbilia huko ni viongozi wenye uchu na madaraka wakikosa wanachokitafuta wanaamsha!, CHADEMA IT'S TIME TO WAKE UP. I feel sorry for you all.
Ile kiu ya wapinzani(wapinzani halisi) wa Tanzania kupata mkombozi wa kutuvusha hatimaye imefikia pazuri baada ya Membe kukaribishwa ndani ya chadema na hatimaye kusubiri kuwa mgombea wa urais.

Chadema katika siku ambayo mmefanya jambo la maana na umuhimu sana basi ni hii ya kumpa Membe nafasi ya kutuvusha 2020.

Membe ni mwanamkakati na mbobezi kwenye masuala yote ya intelijensia, hivyo ni mtu sahihi kabisa na muhimu kwa wakati huu kuliko wakati wowote ule.

Membe sio Lissu, Membe ana ushawishi, ana mtaji wa watu wengi sana kitu ambacho Lissu hana na kamati kuu imeona hili suala.
Karibu Membe chadema, karibu utupiganie, karibu utuvushe.

#2020 upinzani tunaenda na Membe#
 
Haya wafia chama wenzangu ondokeni li chama ambalo hata kura za maoni ni shida!!

Li chama hadi urambe miguu ya Mwenyekiti ndiyo usimame....useless

.
Mziki wa Lissu na Membe jukwani mtaukoma!!
 
CHADEMA HIVI HAWANA WATU WENGINE WA KUGOMBEA URAIS? MBONA WANAINGIA MTEGONI KIRAHISI SANA.
 
Back
Top Bottom