jaruri
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 716
- 459
Ndugu zangu watanzania nimekuwa nikisikia kelele nyingi kwenye vyombo vya habari kutoka vyama vya upinzani.
Nipende kutumia fursa hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kuwa haya mema tunayo yaona katika serikali ya awamu ya tano ni matokeo ya dhamira safi ya rais wa awamu ya tano.Rais anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kwa vitendo na ilani hii imeainisha kabisa kipi kinatakiwa kifanyike lini,wapi na kivipi.
Rais huyu amekuwa tofauti na marais walomtangulia,kafanya mengi mema tena makubwa.Kama vile:
Niwakumbushe tu wapinzani kuwa ifike mahali wamuunge mkono Rais katika yale yalokuwa mema;watafute namna nzuri ya kutoa ushauri.Kupinga kila kitu sio njia nzuri ya kujenga nchi bali ni namna ya kutafuta umaarufu tu.Watanzania wanahitaji maendeleo sio siasa.
Nipende kutumia fursa hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kuwa haya mema tunayo yaona katika serikali ya awamu ya tano ni matokeo ya dhamira safi ya rais wa awamu ya tano.Rais anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kwa vitendo na ilani hii imeainisha kabisa kipi kinatakiwa kifanyike lini,wapi na kivipi.
Rais huyu amekuwa tofauti na marais walomtangulia,kafanya mengi mema tena makubwa.Kama vile:
- Elimu bure
- Nidhamu ya watumishi
- Kudhibiti rushwa na kuanzisha mahakama ya mafisadi
- Kulinda madini yetu na kuleta miswada mipya yenye lengo la kuleta maendeleo
- Ndege mpya
- Reli ya kisasa
- Upatikanaji wa madawa hospitalini
Niwakumbushe tu wapinzani kuwa ifike mahali wamuunge mkono Rais katika yale yalokuwa mema;watafute namna nzuri ya kutoa ushauri.Kupinga kila kitu sio njia nzuri ya kujenga nchi bali ni namna ya kutafuta umaarufu tu.Watanzania wanahitaji maendeleo sio siasa.