jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Naa kweli wakienda kujifunza viubongo vya watu wale inaweza kutuingizia kipato.uwanja wa ndege unaweza jengwa popote,kama ambavyo kuna mikoa ina reli na mingine hakuna.Kujengwa chato isiwe nongwa,kwani watu wa chato hawalipi kodi? hakuna utalii unaoweza fanyika huko? hata utamaduni nao ni utalii,,wazungu wanaweza fika Chato na kujifunza utamaduni wa native people.
Punda wanawekewa trafikilaaaiti!!
Lazima utalii ukue teh teh teh teh