johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,532
Mamlaka ya Bandari imetangaza kuanza kazi kwa meli zilizozinduliwa ujenzi wake na waziri Mwakyembe. Meli hizo zinatoa huduma katika bandari zilizopo ziwa Nyasa katika nchi xa Tanzania, Malawi na Msumbiji. Hapa kazi tu, karibuni!