Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,206
- 9,508
- Thread starter
- #21
Ulichojibu hapo unaonesha una upungufu wa akili ubongoni mwako... Only mjinga na mpumbavu ndio atakuelewa...Jifunze kuelewa kidogo, kuna tofauti ya meli ya Tanzania na meli iliyosajiliwa Kwa Bendera ya Tanzania, jaribu kujifunza kidogo usajili Wa meli Kwa bendera za nchi nyingine, hiyo haimaanishi hiyo meli ni ya nchi inayopeperusha hiyo bendera Bali huo ni usajili tu!
Sasa nikupe mifano Miwili tu ninayowapa wapumbavu like you.
1. Mtu aseme hali nyama ya Nguruwe sababu ni Haram lakini ikipikwa na Mchuzi anaunywa huyo ana akili kama wewe.
2. Gari aina ya Toyota Land Cruiser likitoka Japani ukalinunua wewe na likaandikishwa Jina lako na ukapata kibali cha nchi husika and then Ukaenda fanyia Magendo likakamtwa na walinda Sheria utaruka kuwa sio lako ni la Toyota Japan? Maisha ya sasa Mjinga ataendelea kuwa Mjinga tu.