Meli ya Mizigo Zanzibar, inawaka Moto bandarini

zimamoto wameenda au wapo hapo hapo bandarini
inasemekana kuna meli itafika punde kwaajili ya uzimaji moto,lakini nasikia hadi sasa hakuna aliyepoteza maisha isipokua mizigo inaendelea kuteketea kwanik ni meli ya mizigo ni mwongoni mwa zile zinazo paki kwenye maji ya kina kirefu
 
nasikia bandarini wamezuia waandishi wa habari kuingia kwaajir ya kuzuia taarifa kuvuja
 
419662_10150524748320764_85614400763_9203553_546338684_n.jpg


Habari rasmi kutoka Zanzibar, zinasema kuwa meli moja ndogo ya mizigo inawaka moto.


Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyeshuhudia tukio hilo, amenieleza meli hiyo MV AL NAIM, ipo nangani bila kufanyakazi kwa muda mrefu sasa. Na kuongeza hakuna hatari za watu au mali inayoweza kutokea katika meli hiyo.

Watu wengi waliokusanyika kuangalia tukio hilo, wana wasi wasi mkubwa kuwa moto huo unaweza kusambaa kwa vyombo vingine vilivyopo hapo Bandarini..
 
hiyo ni hujuma na itafukuza wateja wengi maana mali za wafanyabiashara zinateketea ndio maana wanazuia waandishi wa habari. Mwenye habari kamili atujuye
 
Habari rasmi kutoka Zanzibar, zinasema kuwa meli moja ndogo ya mizigo inawaka moto

Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyeshuhudia tukio hilo, amenieleza meli hiyo MV AL NAIM, ipo nangani bila kufanyakazi kwa muda mrefu sasa

Ni ya mtoto wa Ghadafi haijafanya kazi tangu mwenyewe alipokamatwa inawezekana imechomwa na watu wa NTC
 
Washaiba mizigo ya watu hao, hapo wananeutralize waseme iliungua.
Bongo bana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom